Uchaguzi wa TFF: Wallace Karia achaguliwa kuwa rais mpya wa TFF

Humu yanga ndo walalamikaji wakuu kiss kakosa midfielder wao. Mlitaka kila mwaka yangaaaa tu!
 
Japo tff imejaa mafisadi lkn mchezo uliokuwa unachezwa na viongoz wa serikali na wabunge wa ccm kutaka kufundisha wajumbe namna ya kupiga kura

Naamini kabisa wajumbe wamepiga kura za hasira kwa sababu tu walitaka kuwa proove wrong kuwa mpira hauendeshwi na siasa

Mwakyembe nyie na viongoz wengine nye ndo mliosababisha mayai tembele apigwe chin na wajumbe kwa hasira

Mayai naye ajifunze Mara ingne usmame wewe km wewe

Hongera warec karia angalau we huna siasa za manjano na wekundu

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Ukisikia uchaguzi wa Rais ht kama ni wa ktongoji sio kitoto lazima uzijue figisu. Ndg yetu Ally Mayai alidanganywa na akina Luambano na Dauda akaingia kichwa-kichwa as a result amekula za uso dah..!
 
Hii nchi haiishi vituko kwenye kila sekta. Ukichukulia serious vitakuumiza kichwa na utaumia sana, mimi nachukulia kama burudani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…