Japo tff imejaa mafisadi lkn mchezo uliokuwa unachezwa na viongoz wa serikali na wabunge wa ccm kutaka kufundisha wajumbe namna ya kupiga kura
Naamini kabisa wajumbe wamepiga kura za hasira kwa sababu tu walitaka kuwa proove wrong kuwa mpira hauendeshwi na siasa
Mwakyembe nyie na viongoz wengine nye ndo mliosababisha mayai tembele apigwe chin na wajumbe kwa hasira
Mayai naye ajifunze Mara ingne usmame wewe km wewe
Hongera warec karia angalau we huna siasa za manjano na wekundu
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?