1. Boniface Mwabukusi - 1274
2. Sweetbert Nkuba - 807
3. Kapteni Ibrahim Bendera - 58
4. Paul Kaunda - 51
5. Emmanuel Muga - 18
6. Revocatus Kuuli - 7
UPDATE saa 4:40 usiku: Baadhi ya mawakili warekodiwa wakiimba wana imani na Mwabukusi, tukio lililofanya na wengine waliokuwa ukumbini watoke kwenda kuangalia kuna nini. Za ndaniiiii ni kuwa Mwabukusi kachukua kijiji. Tusubiri taarifa rasmi ya Kamati maana mpaka sasa hola!
Your browser is not able to display this video.
=====
UPDATE saa nne usiku: Tundu Lissu atoa shukrani kwa mawakili wenzake kwa sapoti waliyompa kipindi chote alichokuwa kwenye matatizo (baada ya kushambuliwa na watu wasiyojulikana. Atoa hoja kuhusu wamasai wa Ngorongoro kupelekwa Tanga, ambako kutokana na sheria za ushaguzi mtu hatakiwi kupiga kura tofauti na kituo ambacho alijiandikisha. Je, hatma yao itakuaje pindi itakapofika wakati wa uchaguzi?
Pendekezo lake (Lissu) ni kwamba uongozi unaokuja uchukue suala hili na kuangalia namna ya kuingilia kati
UPDATE saa Saba Mchana: TLS waomba radhi kupitia ukurasa wao wa X baada ya kupost kuwa zoezi la upigaji kura limeisha wakati mawakili wakiwa wanasubiri karatasi za kupigia kura ziongezwe.
UPDATE saa sita mchana: Ukurasa wa X wa TLS wamepost kuwa uchaguzi umeisha, lakini upande mwingine taarifa ni kuwa karatasi bado zinazubiriwa kuongezwa ili zoezi la kupiga kura liendelee kwa wale ambao bado hawajapiga kura.
Ndiyo ni Nabii Sababu anaosimamia Kweli na HAKI kusimama katika nchi.
Huyo ni mtumishi wa Mungu. Kumbuka Daudi alikuwa mfalme pia alikuwa Nabii. Huwezi kutetea maskini wasio na chochote Cha kukulipa ,ukajiweka katika hatari bila kusukumwa na Roho wa Mungu ndani Yako.
Nioana kwenye Tweeter (X) ya Maria kuwa Mawakili wa Zanzibar wamepelekwa Dodoma kwenda kupiga kura za Rais wa TLS.
On top of that wamelipiwa flight tickets kuwapeleka probably na mambo mengine ambayo hatujui. Hivi Mawakili wa Zanzibar ambao nao wana chama chao huwa wanasajiliwa upya na TLS au huwa wanakuwa admitted automatically?
Kwa hili kweli jamaa wamepania kuwa Mwabukusi hachukui. Jicho letu kwa wanasheria wetu Kama nao wananunulika, then hakuna sababu ya kuwalaumu Wanannchi wa Kawaida.
Nioana kwenye Tweeter (X) ya Maria kuwa Mawakili wa Zanzibar wamepelekwa Dodoma kwenda kupiga kura za Rais wa TLS.
On top of that wamelipiwa flight tickets kuwapeleka probably na mambo mengine ambayo hatujui. Hivi Mawakili wa Zanzibar ambao nao wana chama chao huwa wanasajiliwa upya na TLS au huwa wanakuwa admitted automatically?
Kwa hili kweli jamaa wamepania kuwa Mwabukusi hachukui. Jicho letu kwa wanasheria wetu Kama nao wananunulika, then hakuna sababu ya kuwalaumu Wanannchi wa Kawaida.
Ndiyo ni Nabii Sababu anaosimamia Kweli na HAKI kusimama katika nchi.
Huyo ni mtumishi wa Mungu. Kumbuka Daudi alikuwa mfalme pia alikuwa Nabii. Huwezi kutetea maskini wasio na chochote Cha kukulipa ,ukajiweka katika hatari bila kusukumwa na Roho wa Mungu ndani Yako.