The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Anayepiga kura ni mwanachama na anakaguliwa anapoingia ukumbini,mzanzibar asiye mwanachama atapigaje? Yamkini ni wanachama
Fatuma karume ni mzanzibar lakini amewahi kuwa Rais wa TLS
True. Ila ndiyo walipiwe flight tickets kenda Dodoma kupiga kura?