Uchaguzi wa TLS: Sungusia apinga Mawakili kupunguziwa gharama

Uchaguzi wa TLS: Sungusia apinga Mawakili kupunguziwa gharama

Haki sawa

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2007
Posts
4,781
Reaction score
3,210
Sikiliza mahojiano yake kuhusu Mawakili kupunguziwa gharama, asema ni uamuzi wa kukurupuka

 
Sungusia naona ameamua kujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.

Kwanza alianza kwa kuwatetea Covid 19 mahakamani na Leo anaongelea mawakili wasipunguziwe gharama ilimradi kazi zenyewe hakuna Sasa hivi tunaishia kuishi kwa kupiga mihuri document nothing extra.

Hana kura yangu mpuuzi sana, I use to see him as an intelligent brother.
 
Sungusia naona ameamua kujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.

Kwanza alianza kwa kuwatetea Covid 19 mahakamani na Leo anaongelea mawakili wasipunguziwe gharama ilimradi kazi zenyewe hakuna Sasa hivi tunaishia kuishi kwa kupiga mihuri document nothing extra.

Hana kura yangu mpuuzi sana, I use to see him as an intelligent brother.
Labda anatafuta njia ya kujitoa kugombea ili amwachie Mwenye sifa zaidi yake !
 
Back
Top Bottom