Uchaguzi wa washiriki wa Big Brother, siri iliyofichuka nyuma ya story ya Dida na Mume wake

Uchaguzi wa washiriki wa Big Brother, siri iliyofichuka nyuma ya story ya Dida na Mume wake

Nashangaa unajua hiyo ni tuhuma nzito kwa multi choice hata kama Ezden karopoka kwa hasira but kaaribu jina la Multichoice na watu watakosa iman kwa kila mshiriki atakayekuwa anapitishwa na walio pitishwa mwanzo watu watahisi walisha pangwa.

For sure.
 
rabish!! ezden mwenyewe english hajui nimemfundisha somo la broadcasting pale RCT alikuwa anapata shida sana kuandika news kwa kingereza!
 
mpwa huyu ras simba nchi zilizo serious na elimu ni wakuwekwa jela kabisa.

mimi nimekwenda shule na nimekaa British Columbia kwa miaka kadhaa na nimesoma British council English course na bado mpaka kesho naendelea kujifunza English sembuse huyu muhuni wa wiki tatu?

Hahahaa haaaa Yaaani nimecheka
 
angeenda kwa Ras simba week 3 unajua kiingereza fresh usipojua unarudishiwa pesa

cc mpwa Matola

Wengi wanakiu ya kujua kuongea kiingereza.Huyu jamaa,kachangamkia fursa ya kuwatapeli watu kwa njia hiyo.Kujua Kiingereza ni kujifunza kuongea zaidi na sio kusoma grama na tenses.
 
Last edited by a moderator:
Muacheni aende akaonyeshe Madhara ya Mikorogo jamani , labda underground wataacha! maana sipati picha akiwa anaoga !
 
Nashangaa unajua hiyo ni tuhuma nzito kwa multi choice hata kama Ezden karopoka kwa hasira but kaaribu jina la Multichoice na watu watakosa iman kwa kila mshiriki atakayekuwa anapitishwa na walio pitishwa mwanzo watu watahisi walisha pangwa.

Hata kama ishu ya BBA haikugeuzwa mjadala mzito, lakini bado ukweli haufutiki kuwa hilo ni doa kwa Multichoice, coz Edzen alikuwa anaongea kwa hisia na maumivu ya kuvunjika kwa ndoa yake, na kwa vyovyote aliongea ukweli halisi kwani alilazimika kuanika source ya tatizo lake...

Ni vile tu Multichoice ni wadau wazuri wa vyombo vya habari (haswa clouds waliojikita kwenye entertaiment) otherwise mtu kama Gerald Hando au jamaa wa xxl wangeshahoji, kama walivyo mafundi wa kushadadia ishu/kashfa nyingine zinazofanana na hizo.
 
Ndo maana nilimsikia G. Hando akisema amefikiria sana lakini ameamua kutoshiriki BBA akiwa sure kabisa. Matapeli kabisa kama hili ni kweli.
 
rabish!! ezden mwenyewe english hajui nimemfundisha somo la broadcasting pale RCT alikuwa anapata shida sana kuandika news kwa kingereza!

Kiss fm alikuwa akitangaza kwa lugha gani?
 
Back
Top Bottom