Uchaguzi wa Yanga: Dkt. Msolla achaguliwa kuwa Mwenyekiti na Mwakalebela kuwa Makamu Mwenyekiti Yanga

Uchaguzi wa Yanga: Dkt. Msolla achaguliwa kuwa Mwenyekiti na Mwakalebela kuwa Makamu Mwenyekiti Yanga

Kunywa maji kwanza upunguze jazba, kama ni wanasimba wamegombeaje yanga bila kadi za uanachama? Mpira ni kama siasa tu kila mtu anaweza kuhamia upande unaomfit.
YANGA INAMCHOMA HALALI BILA KUIGUSAA LOH ...NA BADOOO
 
Wana Yanga SC kweli ni ' Mazwazwa ' yaani Simba SC tumewaingizeni cha ' Kike ' huku tukitumia mbinu zetu nyingi za ' Ushawishi ' na ' Propaganda ' Mitandaoni na katika Vyombo vya Habari Kuwaaminisheni kuwa hao ni Wenzenu ( wana Yanga SC ) wakati Kiuhalisia siyo kabisa badala yake ni Wana Simba SC wenzetu tena wa ' Kindakindaki ' kabisa.

Sasa mtakoma na mtatukoma Simba Sports Club.
YANGAAAA INAKUTESAAA UMEANZISHA THREAD AICHOKI NA HUMU UMOOO LOH KAZIKWELIKWELI
 
Back
Top Bottom