Uchaguzi wa Yanga: Dkt. Msolla achaguliwa kuwa Mwenyekiti na Mwakalebela kuwa Makamu Mwenyekiti Yanga

Uchaguzi wa Yanga: Dkt. Msolla achaguliwa kuwa Mwenyekiti na Mwakalebela kuwa Makamu Mwenyekiti Yanga

Baada ya muda mrefu kesho pale Iringa lini timu yetu itakua inaongozwa na viongozi waliochaguliwa na wanachama!! Hodi iringa
 
Chakubanga kwenye mkutano wa yanga...
Siasa ulevi mbaya kha!!
 
Mikia wanaweweseka.. . Subash Patel, Rostam na mmoja simtaji kazi ipo.. Nyie mna mkono mmoja Jangwani watatu zinamwagwa 120B..Klabu tajiri kabisa Afrika

Kuna Mmoja umemtaja hapo na huyo ambaye umemficha ila bahati nzuri nimeshamjua wakithubutu tu kuanza Kuichangia Yanga SC Mmoja Kesi yake ya Uhujumu Uchumi inafukuliwa na huyo Mwingine uliyemficha Kesi yake ya Utapeli na Ukwepaji wa Kodi inafukuliwa. Ole Wao kwani watajuta na Utajiri Wao huo utapukutishwa ndani ya muda mfupi tu kama wakiwa na Kimbelembele cha Kuisaidia / Kuifadhili Yanga SC.
 
Kuna Mmoja umemtaja hapo na huyo ambaye umemficha ila bahati nzuri nimeshamjua wakithubutu tu kuanza Kuichangia Yanga SC Mmoja Kesi yake ya Uhujumu Uchumi inafukuliwa na huyo Mwingine uliyemficha Kesi yake ya Utapeli na Ukwepaji wa Kodi inafukuliwa. Ole Wao kwani watajuta na Utajiri Wao huo utapukutishwa ndani ya muda mfupi tu kama wakiwa na Kimbelembele cha Kuisaidia / Kuifadhili Yanga SC.
Pole sana mkuu maana siku hadi siku unazidi kujifedhehesha. Nawasilisha
 
Mikia wanaweweseka.. . Subash Patel, Rostam na mmoja simtaji kazi ipo.. Nyie mna mkono mmoja Jangwani watatu zinamwagwa 120B..Klabu tajiri kabisa Afrika
Nimategemeo na watoto ya Dr Mengi watakuwa kama mzee wao katika kufadhili Yanga .
 
Kuna Mmoja umemtaja hapo na huyo ambaye umemficha ila bahati nzuri nimeshamjua wakithubutu tu kuanza Kuichangia Yanga SC Mmoja Kesi yake ya Uhujumu Uchumi inafukuliwa na huyo Mwingine uliyemficha Kesi yake ya Utapeli na Ukwepaji wa Kodi inafukuliwa. Ole Wao kwani watajuta na Utajiri Wao huo utapukutishwa ndani ya muda mfupi tu kama wakiwa na Kimbelembele cha Kuisaidia / Kuifadhili Yanga SC.
Mlidhani tutakuwa maskini milele? Mjiandae kisaikolojia
 
na leo watakuwa ndani ya samora iringa kuwapa vijana wao nguvu. Kizuri msola alichosema kocha atapewa bajeti aitakayo ya usajili sio ile 1.5bn tu, du manara utabidi atafute gunia la ndimu ndani mwake.
 
Msolla katafuta uongoz apate nae pesa ya kujikimu maisha, hiyo sound ya billion 1.5 ni danganya toto
na leo watakuwa ndani ya samora iringa kuwapa vijana wao nguvu. Kizuri msola alichosema kocha atapewa bajeti aitakayo ya usajili sio ile 1.5bn tu, du manara utabidi atafute gunia la ndimu ndani mwake.
 
Kuna Mmoja umemtaja hapo na huyo ambaye umemficha ila bahati nzuri nimeshamjua wakithubutu tu kuanza Kuichangia Yanga SC Mmoja Kesi yake ya Uhujumu Uchumi inafukuliwa na huyo Mwingine uliyemficha Kesi yake ya Utapeli na Ukwepaji wa Kodi inafukuliwa. Ole Wao kwani watajuta na Utajiri Wao huo utapukutishwa ndani ya muda mfupi tu kama wakiwa na Kimbelembele cha Kuisaidia / Kuifadhili Yanga SC.
hii ni arranged move sio mchezomchezo , ukisikia ni timu ya wananchi inabidi ujitafakari, watu wanejipanga, usije ukasikia watu hawana hamu tena na mambo ya siasa wanaifuatilia yanga tu
 
hiyo bilioni moja na nusu ni michango ya wananchi inatimia siku ya chakula cha hisani, hiyo anayo mh mavunde yeye anaanza uongozi anayo mkononi tayari, sio mchezo
Msolla katafuta uongoz apate nae pesa ya kujikimu maisha, hiyo sound ya billion 1.5 ni danganya toto
 
hii ni arranged move sio mchezomchezo , ukisikia ni timu ya wananchi inabidi ujitafakari, watu wanejipanga, usije ukasikia watu hawana hamu tena na mambo ya siasa wanaifuatilia yanga tu

Ole Wao hao Matajiri wenu Watatu wajitokeze tu Kuisaidia Yanga SC zile Kesi zao ' zitaibuliwa ' upya na Wote wataishia tu Jela.
 
Matokeo ya uchagizi wa klabu ya Yanga yametangwazwa huku nafasi ya Mwenyekiti akishinda Dr Mshindo Msolla na Makamu Mwenyekiti akishinda Frendrick Mwakalebela
Matokeo
Mwenyekiti
Dr. Jonas Tiboroha kura 60
Dr. Mshindo Msolla kura 1276

Nafasi ya Makamu Mwenyekiti
Chota 12
Osolo 17
Yono 31
Mbene janet 67
Mwakalebela 1206

Yanga imepata uongozi mpya baada ya mwenyekiti kiti wake Yusuf Manji kujiuzulu miaka 2 iliopita
Nafikiri yanga itabadilika kidogo na kuanza fikra mpya za kujitegemea.
 
Yanga ya Msola yajayo yanafurahisha!

Hakuna Mshabiki na Mwanachama wa Simba SC kama huyo Mwenyekiti wenu mliyemchagua bila Kumsahau na Makamu Mwenyekiti wake. Watu wa Mpira wanalijua hilo na tunajuana.
 
Uchaguzi huu umeingiliwa na ccm na watu wa kitengo. Najiuliza tu kwa sauti, Polepole alienda kwenye mkutano wa Yanga kufanya nini?

Waliochaguliwa ni makada wa ccm, hii itatufanya wengine tujiweke pembeni na Yanga tunayoipenda.
 
Uchaguzi huu umeingiliwa na ccm na watu wa kitengo. Najiuliza tu kwa sauti, Polepole alienda kwenye mkutano wa Yanga kufanya nini?

Waliochaguliwa ni makada wa ccm, hii itatufanya wengine tujiweke pembeni na Yanga tunayoipenda.

Yanga SC na CCM ni sawa na UKIMWI na Mwanadamu Mkuu.
 
Wana Yanga SC kweli ni ' Mazwazwa ' yaani Simba SC tumewaingizeni cha ' Kike ' huku tukitumia mbinu zetu nyingi za ' Ushawishi ' na ' Propaganda ' Mitandaoni na katika Vyombo vya Habari Kuwaaminisheni kuwa hao ni Wenzenu ( wana Yanga SC ) wakati Kiuhalisia siyo kabisa badala yake ni Wana Simba SC wenzetu tena wa ' Kindakindaki ' kabisa.

Sasa mtakoma na mtatukoma Simba Sports Club.
Ikiwa walikuwa Simba ni siku hizo za nyuma sasa hivi hao ni Yanga, mbona wewe ulikuwa mtoto na sasa hivi umekuwa, au wewe ungali na utoto ?
 
Ikiwa walikuwa Simba ni siku hizo za nyuma sasa hivi hao ni Yanga, mbona wewe ulikuwa mtoto na sasa hivi umekuwa, au wewe ungali na utoto ?

Huwezi kuwa Simba SC tokea Mtoto halafu ghafla tu ukageuka na kuwa Yanga SC. Kubalini tu kuwa mmeingia cha ' Kike ' Mkuu.
 
Back
Top Bottom