Zanzibar 2020 Uchaguzi Zanzibar joto kali

Zanzibar 2020 Uchaguzi Zanzibar joto kali

JK,
Huwa nikisom "huyu mzee," tayari nishajua hapa pana shari.

Sijafahamu uhusiano wa maktaba ya mtu mwingine awaye yule na Maktaba yangu.

Waandishi wa Nyerere Biography wameitaja Maktaba yangu kuwa ni kati ya maktaba tatu bora walizopata kuziona wakati wanatafiti maisha ya Julius Nyerere.

Maktaba ya Dr. Salim Ahmed Salim, Hashim Mbita na yangu.

Kuhusu kufanya rejea ya vitabu nimefanya sana hapa jamvini.

Pitia niliyoandika hapa utaona.

Kuhusu wanazuoni wengi tunafahamiana Ali Mazrui, Ahmed Mouhiddin, Hamza Njozi, Jonathan Glassman, James Brennan, James Giblin, Khalil MohamedTimamy, Ibrahim Noor Shariff, Abdul Shariff, Kai Kresse wengi, wengi sana.

..asante kwa jibu lako.

..lakini nadhani hukunielewa, labda sikujieleza vizuri.

..niliposema " mzee huyu " nilikuwa namemlenga Jpm.

..kwamba Jpm ni mzee asiyejiongeza, na anayepuyanga tu ktk mazungumzo yake.

.. Mohamed Said, mimi nakikubali kipaji chako, na nauheshimu mchango wako.

..Pole kwa usumbufu niliousababisha.
 
Kipanga,
Ikiwa CCM watashinda baada ya kila Mzanzibari anaestahili kupiga kura ataruhusiwa kupiga kura, kwa maana ya uchaguzi kuwa huru na wa haki hili litakuwa tukio la ajabu sana.
Hakuna la ajabu hapo...

Kama ni kitambulisho..Sh.Moh'd ..hakunyimwa mpemba tu.. na jamii ya sasa imeshaamka.. upuuzi wa kudai haki kwa mbinde..ukashindana na Serikari kwa nguvu ya jiwe... washagutuka watu wameacha..sababu wanao umia ni baadhi ya matabaka tu baina yao hao hao wanao dai haki na si wote!

Wenye kuyajua washajiwambua... na watanielewa!

kitambulisho cha kura Zanzibari..wote wamekosa na kupata!



Na hili litapita InshaAllah... kila jambo na wakti wake!

Kulazimisha kutenganisha watu ni sumu mbaya sana..

Na kuchonganisha watu pia kinafiki...ni dhambi mbaya pia!
 
..asante kwa jibu lako.

..lakini nadhani hukunielewa, labda sikujieleza vizuri.

..niliposema " mzee huyu " nilikuwa namemlenga Jpm.

..kwamba Jpm ni mzee asiyejiongeza, na anayepuyanga tu ktk mazungumzo yake.

..@Mohamed Said, mimi nakikubali kipaji chako, na nauheshimu mchango wako.

..Pole kwa usumbufu niliousababisha.
JK,
Mie ndiye wa kukutaka radhi.
Ahsante.
 
Hakuna la ajabu hapo...

Kama ni kitambulisho..Sh.Moh'd ..hakunyimwa mpemba tu.. na jamii ya sasa imeshaamka.. upuuzi wa kudai haki kwa mbinde..ukashindana na Serikari kwa nguvu ya jiwe... washagutuka watu wameacha..sababu wanao umia ni baadhi ya matabaka tu baina yao hao hao wanao dai haki na si wote!

Wenye kuyajua washajiwambua... na watanielewa!

kitambulisho cha kura Zanzibari..wote wamekosa na kupata!



Na hili litapita InshaAllah... kila jambo na wakti wake!

Kulazimisha kutenganisha watu ni sumu mbaya sana..

Na kuchonganisha watu pia kinafiki...ni dhambi mbaya pia!
Mine...
Ahsante.
 
Kipanga,
Ikiwa CCM watashinda baada ya kila Mzanzibari anaestahili kupiga kura ataruhusiwa kupiga kura, kwa maana ya uchaguzi kuwa huru na wa haki hili litakuwa tukio la ajabu sana.
Kuna wasukuma na wasubi watapelekwa zanzibar kupiga kura, usishangae mwinyi akashinda kwa kura 5 Milion hali ya kuwa voters hawafikii idadi hiyo.
 
Naona joto linazidi kupanda Zanzibar , haya CCM endeleeni tu na maandazi yenu .
IMG_20200911_014206.jpg
IMG_20200911_014200.jpg
IMG_20200911_014153.jpg
IMG_20200910_151541.jpg
 
Back
Top Bottom