Wote tumesikia kuhusu shutuma ambazo Dr.slaa ameitupia agency yetu ya usalama...lakini kitu ambacho mimi sikielewi ni kuhusu ujibuji wa hizi tuhuma na mazoea ya watanzania kuamini bila kudai uchunguzi au kuuliza zaidi...
1.Dr.slaa amezusha tuhuma hizo na kama kweli kazusha tuhuma hizo...reaction ya kwanza ya usalama ingekuwa kum sue dr.slaa kwa kuwapaka matope,chombo pekee kinachoweza kuprove kwamba dr.slaa kazusha tuhuma hizo ni mahakama kwa hiyo tungetegemea kuwa usalama wangemfungulia dr.slaa mashitaka.
2.Ni kweli...hapa kuna fact mija kubwa kuwa,dr.slaa pamoja na uanasiasa wake ni mtu ambaye anasimama kwenye maneno yake,ndiyo maana baada ya usalama kuzikataa hizo tuhuma akawaambia kuwa waende mahakamani ambako kila upande utatakiwa kupeleka ushahidi wa kutetea upande wake na pia watanzaania tutajua ukweli kuhusu uhusikaji wa usalama wa taifa kwenye uchakachuaji wa matokeo...
Au niseme hivii...kwa historia hakuna mtu hata mmoja aliyejitokeza kwenda mahakani kutokana na shutuma ambazo zimelekezwa kwake na dr.slaa hivyo kutunyima watanzania kujua ukweli na badala yake tunapewa press conference kibaoo...
Ni kwamba haya maneno yaliyoenea kwenye jamii kwamba mpaka usalama umesema basi dr.slaa kakosea,haujengi taifa kwani sasa watu watakuwa wanaangalia cheo na jina la taasisi kwamba kama ni agency yoyote ya serikali bac wanasema ukweli...Ni natural path kukataa kitu pale unapohusishwa nacho uwe ni ukweli au uongo hasa kitu ambacho kina consequence nyingi kama hiki.....Raisi Clinton alipohusishwa na kashfa ya mapezi na sekretari wake si alikataa lakini wamarekani hawakutaka kuishia kwenye hotuba yake ya kujisafisha,walidai utafiti zaidi ili UKWELI ujulikane na baada ya uchunguzi ukweli ukajulikana...
hivyo ili wananchi wajue kwamba nchi yao inaendeshwa kidemokrasia na hakukuwa na uchakachuaji wowote wa kura uliyoihusisha usalama,uchunguzi huru ufanyike la sivyo hakuna ukweli wowote ambao wanachi wamesikia na itakua aibu kwa nchi yetu na usalama pia!!!!
Lala kijana lala naona usingizi unakuuma!!!!!!!!!Ya Ngoswe huwa namuachia Ngoswe, lakini mengine huwa nayajibu kama ningelikuwa mimi:
Nisingelimshtaki Dr. Slaa kwa sababu ningempa umaarufu, (na ndicho alichotafuta hapo) Namheshimu sana lakini wanaomzunguka wamempotosha sana, wamemdanganya sana, sababu ni kusema kwake tu Bungeni. hata sijui ilikuwaje mzee wetu wakamshawishi apoteze ubunge wake, naamini na nadhani ndio ukweli KUNA AGENDA YA SIRI DHIDI YA DK. SLAA NDANI YA CHADEMA. bado tunatazama :tape: hakika nawaambieni.. nimeanza kuona mbali sasa.. kwa maana kikao cha kumteua kuwa mgombea Urais kilifanyika Nairobi, hakuwa amejiandaa kwa hilo, ndio maana AKAMTAKA JUMA DUNI kuwa mgombea mwenza wake... Ingekuwaje hapo? Hao wanaosema CCM na CUF wameungana walilisahau hilo? pana ka-moshimoshi kanafuka hebu tusubirie.
AMANI TANZANIA
Umenena sahihi kabisa, kukataa kupitia kwenye vyombo vya habari si kwamba umesema ukweli!! Dr. Slaa alipowatuhumu akina lowasa, karamagi na wenzake walikanusha vikali jambo hilo kupitia vyombo vya habari, but at the end of the day ukweli ukajulikana kwamba Dr. Slaa alisema ukweli!! My suggestion sasa Silaa aanze mwenyewe kwenda mahakamani
Jamani niwaambie tu ni kweli usalama wa taifa, umeusika kuiba kura. Kuna rafiki yangu mmoja tulisoma naye miaka ya nyuma, anafanya kazi usalama wa taifa, nilipomuuliza vipi uchaguzi, aliniambia hivi" uchaguzi ni mgumu sana mwaka huu ila kikwete atashinda kwa sababu kuna maafisa usalama 400 wamesambazwa katika vituo mbalimbali nchi nzima, akaendelea kuniambia kuwa kitu kinachowachanganya zaidi ni kuwa kuna vituo vingi sana, nikamuuliza tatizo liko wapi kuwa na vituo vingi, alisema hivi hao wanausalama 400 wanatakiwa wachakachue kura ili zisiwe na tofauti kubwa sana kituo na kituo yaani kuwe na uwiano fulani"
Usalama wa Taifa imeoza, haina maadili na ni aibu sana kwa Taifa letu. Sio chombo cha sisi Watanzania kujivunia tena. Hata wafanyakazi wake wakionekana mtaani wanatakiwa watembee vichwa chini na si kifua mbele kama zamani walipokuwa wanaheshimika na kutetemekewa na kuonekana kama akina James Bond. Sasahivi wakipita wanaonekana ni wachakachuaji tu!
Chombo hiki enzi za mwalimu kilikuwa na sifa sana na maadili kwa kulinda usalama wa wananchi, lakini sahivi kinalinda usalama wa JK na CCM.
Tatizo chombo hiki kiko chini ya ofisi ya rais, mnadhani wamtetea nani?
Ushauri wangu ni kama mkurugenzi wa usalama anaipenda nchi yake ingawa alishinikizwa na boss wake, nadhani ingekuwa busara akajiuzulu. Angalau nafsi yake itakuwa na amani kidogo kwa dhambi aliyolazimishwa kuutendea umma wa wa Watanzania kwa shinikizo la boss wake JK. Na pia hata Mungu atamwonea huruma.
Otherwise na wewe, na usalama wa CCM mna tuhuma ya kujibu, pamoja na NEC, jeshi na TAKUKURU na vibaka wengine wote mlioshiriki kwa aina moja au nyingine kukandamiza haki za wananchi na kutotimiza wajibu wenu.
Umenena sahihi kabisa, kukataa kupitia kwenye vyombo vya habari si kwamba umesema ukweli!! Dr. Slaa alipowatuhumu akina lowasa, karamagi na wenzake walikanusha vikali jambo hilo kupitia vyombo vya habari, but at the end of the day ukweli ukajulikana kwamba Dr. Slaa alisema ukweli!! My suggestion sasa Silaa aanze mwenyewe kwenda mahakamani
Kama baadhi ya wachangiaji walivyosema ni ngumu kwa mahakama zetu kutoa haki, na waTZ wameshapigwa mkwala kuwa upinzani unataka kumwaga damu, kwa hiyo hata Dr. Slaa akizungumza vipi bado kunawatanzania watasema huyu anataka kuleta fujo(uelewa wa watz ni mdogo sana hata wale wa mijini, akina malaria sugu ni wengi). Ninachoona mimi ili swala nikulipeleka kwa wafadhili tu.
Wote tumesikia kuhusu shutuma ambazo Dr.slaa ameitupia agency yetu ya usalama...lakini kitu ambacho mimi sikielewi ni kuhusu ujibuji wa hizi tuhuma na mazoea ya watanzania kuamini bila kudai uchunguzi au kuuliza zaidi...
1.Dr.slaa amezusha tuhuma hizo na kama kweli kazusha tuhuma hizo...reaction ya kwanza ya usalama ingekuwa kum sue dr.slaa kwa kuwapaka matope,chombo pekee kinachoweza kuprove kwamba dr.slaa kazusha tuhuma hizo ni mahakama kwa hiyo tungetegemea kuwa usalama wangemfungulia dr.slaa mashitaka.
2.Ni kweli...hapa kuna fact mija kubwa kuwa,dr.slaa pamoja na uanasiasa wake ni mtu ambaye anasimama kwenye maneno yake,ndiyo maana baada ya usalama kuzikataa hizo tuhuma akawaambia kuwa waende mahakamani ambako kila upande utatakiwa kupeleka ushahidi wa kutetea upande wake na pia watanzaania tutajua ukweli kuhusu uhusikaji wa usalama wa taifa kwenye uchakachuaji wa matokeo...
Au niseme hivii...kwa historia hakuna mtu hata mmoja aliyejitokeza kwenda mahakani kutokana na shutuma ambazo zimelekezwa kwake na dr.slaa hivyo kutunyima watanzania kujua ukweli na badala yake tunapewa press conference kibaoo...
Ni kwamba haya maneno yaliyoenea kwenye jamii kwamba mpaka usalama umesema basi dr.slaa kakosea,haujengi taifa kwani sasa watu watakuwa wanaangalia cheo na jina la taasisi kwamba kama ni agency yoyote ya serikali bac wanasema ukweli...Ni natural path kukataa kitu pale unapohusishwa nacho uwe ni ukweli au uongo hasa kitu ambacho kina consequence nyingi kama hiki.....Raisi Clinton alipohusishwa na kashfa ya mapezi na sekretari wake si alikataa lakini wamarekani hawakutaka kuishia kwenye hotuba yake ya kujisafisha,walidai utafiti zaidi ili UKWELI ujulikane na baada ya uchunguzi ukweli ukajulikana...
hivyo ili wananchi wajue kwamba nchi yao inaendeshwa kidemokrasia na hakukuwa na uchakachuaji wowote wa kura uliyoihusisha usalama,uchunguzi huru ufanyike la sivyo hakuna ukweli wowote ambao wanachi wamesikia na itakua aibu kwa nchi yetu na usalama pia!!!!
Wanausalama wa Taifa (TISS) kwa kujua kujenga hoja juu ya propaganda nina wa-adore kweli kweli.Ya Ngoswe huwa namuachia Ngoswe, lakini mengine huwa nayajibu kama ningelikuwa mimi:
Nisingelimshtaki Dr. Slaa kwa sababu ningempa umaarufu, (na ndicho alichotafuta hapo) Namheshimu sana lakini wanaomzunguka wamempotosha sana, wamemdanganya sana, sababu ni kusema kwake tu Bungeni. hata sijui ilikuwaje mzee wetu wakamshawishi apoteze ubunge wake, naamini na nadhani ndio ukweli KUNA AGENDA YA SIRI DHIDI YA DK. SLAA NDANI YA CHADEMA. bado tunatazama :tape: hakika nawaambieni.. nimeanza kuona mbali sasa.. kwa maana kikao cha kumteua kuwa mgombea Urais kilifanyika Nairobi, hakuwa amejiandaa kwa hilo, ndio maana AKAMTAKA JUMA DUNI kuwa mgombea mwenza wake... Ingekuwaje hapo? Hao wanaosema CCM na CUF wameungana walilisahau hilo? pana ka-moshimoshi kanafuka hebu tusubirie.
AMANI TANZANIA
Aisee, hawa jamaa inabidi sasa watembee na bodyguard maana maisha yao yapo hatarini ktk kuilinda nchi na ccmNdugu yangu umenena sahihi kabisaaaa!
Mimi ninaishi Arusha! Nilikuwepo kwenye mchakato woooote wa uchaguzi wa jimbo la Arusha mjini. Siku ya kutangaza matokeo, Batilda Buriani alikataa kusainin matokeo akidai hawezi kusaini hadi Lowassa aje. Ni kweli baada ya saa kadhaa kupita, Lowassa alifika hapa mjini ktk ukumbi wa manispaa/halmasahuri na kuingia hadi pale ndani tulipokuwepo. Punde kabla hajaingia ndani, wananchi waliokuwepo pale nje walimzomea sana. Kule ndani, alijaribu saaaaanaaa kumshawishi Lema Godbless achukue kiasi fulani cha pesa ili akubali na atangaze kuwa yeye (Lema) ameshindwa ubunge, Lowassa alifika hadi 900M. Lema akamwambia toka hapo nje waambie hao wananchi waliokusanyika kuwa unanipa hizi pesa wakikubali then njoo ndani tusaini. Lema akapiga simu kwa Ndessamburo na Mbowe nao wakaja. Punde matokeo yakatangazwa. Lakini ktk magazeti ya leo Lowassa anakanusha kuwa hakuhusika na jaribio la uchakachuaji wa matokeao ya Arusha. Hivyo basi naungana na wewe ndugu yangu kuwa hawa jamaa in how hata ukiwakuta Red-handed, watakaaaa tu. (watasema It wasn't me!).
Kuna Afisa Usalama mmoja (jina ninalihifadhi) aliporwa bastola na vibaka maeneo ya Shevers (eneo maarufu kwa vyangudoa) hapa Arusha.
haya yoote naweza kuyathibisha in the court of law.
Dr slaa atafute umaarufu kwanani ? Hivi ninani asiye mfaham slaa mpaka aangaike kutafuta umaarufu? Nahic umelogwa na bibi yako!!
I think I was wrong, walotajwa kwenye hii kitu wangeangalia hii FAKE thing mapema wangepata majibu ya kumjibu Slaa alipotoka na barua hii... Wengine waliniuliza SOURCE! Niliamua ili watu wapate muda wa kupiga kura bila kukata tamaa basi iondoke (japo ujumbe ulishafika).Hapa tunatakiwa kuwa makini sana, siamini kitu kama hiki wanaweza kukiweka kwenye maandishi sio wapumbavu. ninachoofia ni kuwa kuna watu wanajiandaa kutaka kuifungia JF wanatafuta sababu unless Mkuu Invisible una uhakika na source but this is craps.
Tuwe makini tusipewe barua kama za mwananchi maana serikali na taasisi zake zote kama TBC wanakampenia CCM wazi wazi bila kuficha.
Haya uchaguzi umeisha, mwaga ukweli sasa :lol:I think I was wrong, walotajwa kwenye hii kitu wangeangalia hii FAKE thing mapema wangepata majibu ya kumjibu Slaa alipotoka na barua hii... Wengine waliniuliza SOURCE! Niliamua ili watu wapate muda wa kupiga kura bila kukata tamaa basi iondoke (japo ujumbe ulishafika).
Nadhani kwa maandishi yako mkuu hapo unamaanisha nilikuwa nampigia kampeni Slaa waziwazi; ni jambo la kawaida kudaiwa UNATUMIWA au USHALIPWA etc... I normally take it