Hapa tunatakiwa kuwa makini sana, siamini kitu kama hiki wanaweza kukiweka kwenye maandishi sio wapumbavu. ninachoofia ni kuwa kuna watu wanajiandaa kutaka kuifungia JF wanatafuta sababu unless Mkuu Invisible una uhakika na source but this is craps.
Tuwe makini tusipewe barua kama za mwananchi maana serikali na taasisi zake zote kama TBC wanakampenia CCM wazi wazi bila kuficha.
Tuwe makini tusipewe barua kama za mwananchi maana serikali na taasisi zake zote kama TBC wanakampenia CCM wazi wazi bila kuficha.