Elections 2010 Uchakachuaji HAUPO! - NYARAKA HIZI HAPA NI FAKE

Elections 2010 Uchakachuaji HAUPO! - NYARAKA HIZI HAPA NI FAKE

Status
Not open for further replies.
Let skeptics be skeptical and believers believe what invisible have said. Two thing I will do: 1. I will pray 2. I will vote them offffffffff
 
Huyu jamaa Aliyeweka hapa hii kitu ni kada wa CCM anataka kuvunja moyo wapinzani muangalieni sana huyu Invinsible ni mnafiki ukisambaza hizo vitu unawavunja moyo watu kuwa hata iweje kura yao kazi bure so watu wengine hawata enda piga kura ndivyo kibaraka invisible anavyotumiwa sasa,
 
Wenzenu saa hizi za lala salama wako busy na kampeni ya nyumba kwa nyumba, nyie na wengine busy kuangalia nani kaingia nyumba fulani, nani kaandika nini, nani yuko hotel fulani na fulani, na nani mumporomoshee matusi..

Stukieni strategies na strategist wenu, khaaaa! mchawi kafa?

nina mashaka nauraia wako! Hapa tunaongelea mustakabali wa nchi wewe na ngonjera za vyama...umeniudhi. Anyway ntakuombea upate uzalendo japo kidogo!
 
Mkuu invisible tunajua leo si siku ya wajinga. Hata kama ingekuwa, muda ulishapita. Tunasikitika kutusikitisha hivyo na kisha kutufanya majuha kwa jambo lisilokuwepo kama ulivyojikana. Kwa kuanzia, tuombe radhi kisha ondoa thanks zetu zote hapo. Mengine yatafuata
 
kuna mtu wa maana sana leo kaniuliza, "hivi kweli watu 30 tena wazito kama wale wanawezaje kwenda lakairo hoteli ndogo kama ile na rais akiwamo

Jibu ni simpo.... hoteli ni ya mwanzo, lakini pia, hata Sadam aliwahi kuishi kwenye septic tank na akapimwa meno na manesi... pia tujue kwamba hata Joshua Nkomo alitoroka zimbabwe kama mwanamama mlimbwende ndani ya baibui

dah
 
Huyu jamaa Aliyeweka hapa hii kitu ni kada wa CCM anataka kuvunja moyo wapinzani muangalieni sana huyu Invinsible ni mnafiki ukisambaza hizo vitu unawavunja moyo watu kuwa hata iweje kura yao kazi bure so watu wengine hawata enda piga kura ndivyo kibaraka invisible anavyotumiwa sasa,
he, leo invisible ni mnafiki? kweli ukila ujue na wewe unaliwa
 
he, leo invisible ni mnafiki? kweli ukila ujue na wewe unaliwa

Tabia ya human being in time domain ,ukijua hilo utatoa hiko kiulizo.Na haijalishi nini kafanya kabla
 
Lakairo ni kati ya Hoteli kubwa sana Mwanza watu 30 si chochote ,
 
Tabia ya human being in time domain ,ukijua hilo utatoa hiko kiulizo.Na haijalishi nini kafanya kabla
blah.. blah... balalalalaaaablablababllblbaaaaaablaaa

another ignore dude
 
Mmh jamani hizi habari kama ni za kweli tumekwisha,wanasheria wa vyama vya upinzani walifanyie kazi.The earlier the better
 
this is getting serious... tayari wapiga kura wa mkoa mpya wa geita wameanza kuchanganywa kwa vituo kuwa mbali na majina yao hayaonekani ....
 
Kaazi kweli kweli. Kuna watu bado wanaamini mambo yale yale bila hata haya kidogo.
 
umeipeleka chadema?
Bahati mbaya tumekumbana na barua hizi ikabidi tuwashirikishe!

ANGALIZO: Si lazima kuamini nyaraka hii, lakini si ya kupuuza hata chembe.

chakachua_halmashauri_mwanza1.jpg

chakachua_halmashauri_mwanza2.jpg
 
blah.. blah... balalalalaaaablablababllblbaaaaaablaaa

another ignore dude

ni kitu gani nilichokosea ? fact people can change? at least kusema blah blah mention kitu gani ambacho ni blah !

Mara nyingi nafuatilia post za watu napenda kusoma ,hivyo husoma zako pia na naona huwa unaandika mambo makini na hii inaniambia si kuwa hujaelewa nilichosema just umeamua ku take side .
 
ni kitu gani nilichokosea ? fact people can change? at least kusema blah blah mention kitu gani ambacho ni blah !

Mara nyingi nafuatilia post za watu napenda kusoma ,hivyo husoma zako pia na naona huwa unaandika mambo makini na hii inaniambia si kuwa hujaelewa nilichosema just umeamua ku take side .
samahani mutu kama nimekukwaza... maybe i looked at your post and being not clear and trying to simply the unsimplified stuffs

apologies
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom