Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Invisible. Kuwa makini na jinsi unavyopost hizi thread. The stakes are too high at this moment. Kwa jinsi ulivyo weka title ya thread na mtu kukumbana na barua hii ya utata - kwa mtu mwenye hisia za harakaharaka anaweza sababisha vurugu. Please be careful with the position you have. Suala la hisia za kisiasa sio mchezo. Ungebandika barua hizi, ila ungetumia lugha tofauti kuwapa onyo watu.
Mkuu Inv - Hii barua inanipa mashaka, mbona haina muhuri? Halafu majina yaliyotajwa ni mazito, ulazima wa kuyaandika majina kwenye barua sijauona. Mbona haina hata Kumb. Na.? Mhhhhhhh. Labda kama huyo msimamizi awe ameamua kujitoa muhanga!!!!!!!!!!!!!!
Unataka barua ya wizi iwe na kumbukumbu no. halafu Headed letter si lazima iwe na muhuri.Mkuu Inv - Hii barua inanipa mashaka, mbona haina muhuri? Halafu majina yaliyotajwa ni mazito, ulazima wa kuyaandika majina kwenye barua sijauona. Mbona haina hata Kumb. Na.? Mhhhhhhh. Labda kama huyo msimamizi awe ameamua kujitoa muhanga!!!!!!!!!!!!!!
CCM wajanja kweli kweli, wamewaingiza CHADEMA kichwa kichwa kwenye barua ambayo ukisoma kidogo tu unagundua wazi ni HOAX.
Mwambieni Dr. Slaa aiongelee majukwaani.
Ni yale yale ya Tunduma na lorry la karatasi za kura.
Ila Watanzania kuweni macho. Mauaji ya Rwanda na hata Kosovo yalianza kwa uvumi ambao baadaye ilikuja julikana kwamba haukuwa na ukweli. Wakati huo ilikuwa too late na watu walishaanza kuchinjana.
Jiandaeni kupiga kura kwa amani na kupunguza pressure na stress za kwenye JF.
With due respect. Invisible nakuaminia na nimekuwa napenda post zako. Kwa hili nasita kuamini. Kwanza kwa wale wenye kumbukumbu tarehe 16.10.2010 Kikwete alikuwa Mkoa wa Pwani ziara aliyoanza tarehe 15.10.10. Tarehe 17.10.10 alikuwa Mkoa wa Dar. Yaani hata hao walioandika barua ya magizo je hawakujua ratiba hiyo? Barua inaonesha mwandishi hajui kanuni za kuandika barua. Kwanza haina Kumbukumbu. Barua kama hizi lazima zipigwe muhuri wa "SIRI" au "Confidentail". Kichwa cha barua yenyewe kinatia mashaka. Na mwandishi anaonekana kukosa weledi wa kuandika barua za Kiserikali. Kwa mimi naona barua hiyo si barua ya kweli. Ebu rejea source ya barua hiyo na ujiridhishe kama ni credible.
Aliyeiweka ndiye na mwenye kuiondoa na ndiye anayesema ni barua ya kweli kinachotakiwa ni ama wewe uondoke au usifungue hii siredi.Mimi ninaamini hii barua ni hoax! Invisible ondoa hii thread
Siyo Fake - so much has already been said - and as kiswahili saying goes "Lisemwalo Lipo"
Kikwete alisema "..tusiposhinda, tutajishindisha..": tatizo wa-tanzania huwa hatufuatilii hotuba za Mkuu wa kaya - zina so man loose comments ambazo ukiunganisha unapata taswira nzima ya ni nini kiko nyuma ya hizo hotuba.
This time around - at least itakuwa ngumu kidogo kuendesha zoezi la wizi wa kura - hii inaitwa CATCH 22!:A S angry:
uSIISHIE KUOGOPA... CHUKUA HATUA.... HATUWEZI KUACHA MAMBO HIVI TUTAPATA LAANA YA VIZAZI VYETUnimeogopa sana. Mungu wangu
Tena nimesahau... Kwakuwa barua hii ni FAKE, na kwakuwa mnatakiwa kuipuuza basi wakuu wangu tuanze ku-deal na issues za kuangalia rais mtarajiwa (yeyote awaye) ataapishwaje na sherehe ni wapi.
Watu wazushi sana.
Pia mjue kama kungekuwa na uchakachuaji basi ungefanyika kwa MITANDAO TU kwakuwa wanaofanya uchakachuaji ni WATAALAMU sana na hawawezi kwenda kienyeji kiasi hiki.
TAFADHALI: Msiiamini hii barua wakuu
mnaambiwa kikao kilianza saa tano usiku, hivyo inawezekana kabisakwani ndege yenye hadhi ya kumbeba rais inachukua muda gani kutoka pwani kwenda mwanza?
uSIISHIE KUOGOPA... CHUKUA HATUA.... HATUWEZI KUACHA MAMBO HIVI TUTAPATA LAANA YA VIZAZI VYETU