Uchambuzi: Chama Jr ajifunze Kwa Mwamnyeto

By professional Mimi ni mchambuzi....

Kuhusu kufundisha mbinu.... inawezekana as coz Kuna namna nyingi za kupata materials
 
Hata mimi nisiyejua mpira namuona Chama ni slow na hata Simba nzima inapenda kuzubaa kupiga picha na mpira. Michuano ya kimataifa haitaki mbwembwe, tembeza mpira tengeneza nafasi haraka twende. Mambo ya kujigeuzageuza unaenda mbele na kurudi nyuma yaachwe Mapinduzi cup.
Kibu angalau siku hizi anajitahidi kufanya maamuzi ya haraka na yasiyotarajiwa.

Yanga nimeona mbinu ya kocha kwa Rivers kipindi cha kwanza aliweka mabeki watano akicheza kwa tahadhari, kipindi cha pili akaweka wanne baada ya kuona kawamudu wapinzani, mbinu nzuri. Simba nadhani iliingia kwa tahadhari sana ila uwanja ulitusaidia, kuzubaa kumetukosesha nafasi nzuri.
 
Eti Nini? Chama mwenye jumla ya assists 14 kwenye mashindano yote eti akajifunze kwa Mwamnyeto mwenye jumla ya assist 1? Luc Emayel na Hersi walielezea vizuri sifa za topolos.
 
Mechi iliyopita chama alizingua sio siri , waydad ni wazuri ndio ila mechi ya majuzi iliwakataa kabisa na simba ilikuwa game yao wakawa wanakatika tuu uwanjani, kule Morocco hakuna rangi wataacha iona
Bro nikiitafakari hii mechi inayofuata pale mjini Casablanca dah. Ule uwanja una records nzuri sana kwa Whydad, hakika wanajua kuutumia uwanja wa nyumbani. Yaani tukienda na mentality ya kudefend haka kagoli kamoja hakika tutapoteana....
 
Eti Nini? Chama mwenye jumla assists 14 kwenye mashindano yote eti akajifunze kwa Mwamnyeto mwenye jumla ya assist 1? Luc Emayel na Hersi walielezea vizuri sifa za topolos.
Ligue.....akikutana na kina ihefu + prison
 
Mchezaji yupi mwenye takwimu bora za magoli na assist Simba hadi sasa?
Kama ni huyohuyo Chama basi hatuna cha kukukosoa , hakuna mchezaji mwenye sifa za uchezaji za wachezaji wote labda Mungu mwenyewe.
Wewe unasema anachelewa kufanya maamuzi hao unaodai wanawahi kufanya maamuzi wamemzidi goals contributions?



Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mkuu unatakiwa uangalie upande wa pili je wenzake wanajua kukaa kwenye nafasi ya kufunga ? Wachezaji wa simba wengi wanachelewa kufika kwenye tukio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…