Uchambuzi: Chama Jr ajifunze Kwa Mwamnyeto

Uchambuzi: Chama Jr ajifunze Kwa Mwamnyeto

Mchezaji yupi mwenye takwimu bora za magoli na assist Simba hadi sasa?
Kama ni huyohuyo Chama basi hatuna cha kukukosoa , hakuna mchezaji mwenye sifa za uchezaji za wachezaji wote labda Mungu mwenyewe.
Wewe unasema anachelewa kufanya maamuzi hao unaodai wanawahi kufanya maamuzi wamemzidi goals contributions?



Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mkuu naomba uwelewe kile hasa ninachokilenga na kumaanisha. Sijaongea hivi kwa nia ya kumlinganisha na fulani au kwa nia ya kumkosoa bali kuboresha. Ninachoona hiko alichonacho sasa akiongezee ili Simba ijivunie ushindi mnono zaidi
 
Yaani Chama wa CAFCL ajifunze kutoka kwa Nyeto wa kombe la losers? Misukule mna matatizo vichwani mwenu
 
Chama, sawa na Morrison, ni mfano wa wachezaji wanaocheza sana na jukwaa na sio wachezaji wenye ubora wowote wa maana.
 
Ni kweli, Morocco hakudumu kule kwasababu ya kasi ya mpira wenye kuhitaji maamuzi ya haraka. Angemfikia kwa kasi kidogo tu Macquison "Nickson" Simba ingekuwa na matokeo mazuri zaidi ya haya tunayoyapata
Nadhani Morocco hawaeleweki Kwa sababu hata Kisinda mwenye Kasi naye yalimshinda.
 
Japo nafasi zao kiufundi haziendani lakin sio kigezo Cha mchezaji kushindwa kujifunza Kwa wengine

Chama ni miongoni mwa wachezaji wetu Bora ....ila Kuna vitu huyu mchezaji wetu anazingua ......

Mfano: Mechi yetu ya Wydadi Casablanca Chama alikuwa mzito wa kufanya maamuzi kiasi Kwamba anashindwa kufunga Kwa haraka au kuto assist ( Mr slow motion) ndio maana alifeli pale mjini Morocco

Nini kifanyike Ili kumtoa wydadi kwao

Chama afuatilie mechi nzima ya Yanga vs rivers then ajifunze jinsi ya kuwa faster kimaamuzi unavyokuwa na mpira

NB ajifunze Kwa Mwamnyeto.....huku kwenye mtoano hatuangalii sijui chenga Wala Nini .....tumia akili za fasta sanaView attachment 2598258
Once uto , always uto!
 
Back
Top Bottom