Ngoja wakapigike kipigo kikali sana huko misri tuone atawaaminisha nini.Semaji anajua kuwaoiga porojo
Ah washatoka wachezaji hawana hawa.REKODI ZAIBEBA AL AHLY NYUMBANI, ZAIBANA SIMBA SC VIWANJA VYA UGENINI.
Rekodi ya Al Ahly ikiwa nyumbani ni nzuri kwani haijapoteza mchezo wowote tangu Mei mwaka jana katika michuano yote, ukiondoa kipigo cha 1-0 kutoka kwa USM Alger katika mechi ya CAF Super Cup ambao wao walikuwa wenyeji ila ikichezwa Uwanja wa usio na mwenyewe..
Mechi ya marudiano ya Al Ahly na Simba itapigwa Ijumaa ijayo jijini Cairo kuanzia saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na mshindi wa jumla atatinga nusu fainali kuumana na mshindi wa robo fainali nyingine kati ya Esperance ya Tunisia na Asec Mimosas ya Ivory Coast zilizokuwa zikicheza jana usiku.
Pia Simba haina rekodi nzuri kwa mechi za ugenini za kimataifa, hasa Kwa waarabu
Kwani kwa msimu huu pekee katika mechi nne ilizocheza hadi kufika robo fainali, haikushinda hata moja zaidi ya kufungwa na
Je Al Ahly yupo tayari safari yake ya kwenda nusu fainali isitishwe na Simba Sc na kuandika rekodi ya kufungwa wakiwa kwao Misri ?!!!
Huu utakuwa ni wendawazimu kuamini Simba atatoboa[emoji22]View attachment 2951227
Tafsiri ya picha hapo juu
Kolo before match alijiamini ataenda mpasua Al ahly......
Unfortunately akakutana na kipigo ....
Then kolo wote wajiunga Kwa mamelodi [emoji23][emoji23] Ili ashinde ..then u all know what real happened....[emoji23][emoji23]
Tumia hela yako kwa manufaa ya 🐸🐸wenzio.Sipendi ... kijana uteseke wakati boss nipo
Katika timu zote ni Simba tu kapigika tena kwake.Utopolo mnajua kuchonga,ijumaa saa Tano Usiku Utopolo Wote watakuwa Wamefungwa Midomo..!
Wakati huo huo mnyama atakuwa anaanza Maangamizi yake katika nchi ya Farao..!
Nchi hii Timu Kubwa na Timu kiongozi Kimataifa ni Moja tu....S.S.C, CAF wanalijua hilo...
Ajisemee Lamomy Simba wa Dar es salaam zoo.Ndio, 5imba itashinda njaa.....
Hapana mkuu...kama ulisoma shule....& na haukukimbia umande utaelewaUnatoa hoja/swali alafu unajijibu mwenyewe. Waswahili tukiamka na hangover tuna shida sana
Simba Kushinda Inawezekana kabisa 🐒REKODI ZAIBEBA AL AHLY NYUMBANI, ZAIBANA SIMBA SC VIWANJA VYA UGENINI.
Rekodi ya Al Ahly ikiwa nyumbani ni nzuri kwani haijapoteza mchezo wowote tangu Mei mwaka jana katika michuano yote, ukiondoa kipigo cha 1-0 kutoka kwa USM Alger katika mechi ya CAF Super Cup ambao wao walikuwa wenyeji ila ikichezwa Uwanja wa usio na mwenyewe..
Mechi ya marudiano ya Al Ahly na Simba itapigwa Ijumaa ijayo jijini Cairo kuanzia saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na mshindi wa jumla atatinga nusu fainali kuumana na mshindi wa robo fainali nyingine kati ya Esperance ya Tunisia na Asec Mimosas ya Ivory Coast zilizokuwa zikicheza jana usiku.
Pia Simba haina rekodi nzuri kwa mechi za ugenini za kimataifa, hasa Kwa waarabu
Kwani kwa msimu huu pekee katika mechi nne ilizocheza hadi kufika robo fainali, haikushinda hata moja zaidi ya kufungwa na
Je Al Ahly yupo tayari safari yake ya kwenda nusu fainali isitishwe na Simba Sc na kuandika rekodi ya kufungwa wakiwa kwao Misri ?!!!
Huu utakuwa ni wendawazimu kuamini Simba atatoboa[emoji22]View attachment 2951227
Tafsiri ya picha hapo juu
Kolo before match alijiamini ataenda mpasua Al ahly......
Unfortunately akakutana na kipigo ....
Then kolo wote wajiunga Kwa mamelodi [emoji23][emoji23] Ili ashinde ..then u all know what real happened....[emoji23][emoji23]
Maoni yako yalikua nini kabla ya mechi ya mkondo wa kwanza kuhusu Mamelody vs Yanga??Tumia hela yako kwa manufaa ya 🐸🐸wenzio.
Kwea pipa uende sauzi kushuhudia kuzaliwa kwa Mwakarobo jr pale Pretoria.
Mkuu utaenda Pretoria kushuhudia kuzaliwa kwa Mwakarobo jr siku ya ijumaa?Ndio, 5imba itashinda njaa.....
Jamaa anawadharau sana na kuthibitisha Rage alikuwa sahihi kwani majamaa ni mambumbumbu. Anayadanganya na kuyapelekesha tu.Msemaji wao anawaambia safari hii wataenda kufanya maajabu! Safari hii hakuna tena mambo ya kupindua meza kibabe. Ni kufanya tu maajabu.
Umeshakwea pipa kwenda sauzi au bado upo Mbagala?Maoni yako yalikua nini kabla ya mechi ya mkondo wa kwanza kuhusu Mamelody vs Yanga??
Tizama usije aibika tena kama mwanzo.
Simba jiandaeni tu na ligi ya bongo.... kimataifa hampoUtopolo mnajua kuchonga,ijumaa saa Tano Usiku Utopolo Wote watakuwa Wamefungwa Midomo..!
Wakati huo huo mnyama atakuwa anaanza Maangamizi yake katika nchi ya Farao..!
Nchi hii Timu Kubwa na Timu kiongozi Kimataifa ni Moja tu....S.S.C, CAF wanalijua hilo...
Sijakwea na siendi nipo Dodoma Laikani Kibaigwa.Umeshakwea pipa kwenda sauzi au bado upo Mbagala?
Hamna nitaangalia tu hapa home namna ambavyo ubuntu botho wanapigiana tu pasi wao na kipa waoMkuu utaenda Pretoria kushuhudia kuzaliwa kwa Mwakarobo jr siku ya ijumaa?