Uchambuzi: Je, kuna watu wanaamini Simba itashinda kule Egypt?

Uchambuzi: Je, kuna watu wanaamini Simba itashinda kule Egypt?

REKODI ZAIBEBA AL AHLY NYUMBANI, ZAIBANA SIMBA SC VIWANJA VYA UGENINI.

Rekodi ya Al Ahly ikiwa nyumbani ni nzuri kwani haijapoteza mchezo wowote tangu Mei mwaka jana katika michuano yote, ukiondoa kipigo cha 1-0 kutoka kwa USM Alger katika mechi ya CAF Super Cup ambao wao walikuwa wenyeji ila ikichezwa Uwanja wa usio na mwenyewe..

Mechi ya marudiano ya Al Ahly na Simba itapigwa Ijumaa ijayo jijini Cairo kuanzia saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na mshindi wa jumla atatinga nusu fainali kuumana na mshindi wa robo fainali nyingine kati ya Esperance ya Tunisia na Asec Mimosas ya Ivory Coast zilizokuwa zikicheza jana usiku.

Pia Simba haina rekodi nzuri kwa mechi za ugenini za kimataifa, hasa Kwa waarabu

Kwani kwa msimu huu pekee katika mechi nne ilizocheza hadi kufika robo fainali, haikushinda hata moja zaidi ya kufungwa na
Je Al Ahly yupo tayari safari yake ya kwenda nusu fainali isitishwe na Simba Sc na kuandika rekodi ya kufungwa wakiwa kwao Misri ?!!!
Huu utakuwa ni wendawazimu kuamini Simba atatoboa[emoji22]View attachment 2951227


Tafsiri ya picha hapo juu

Kolo before match alijiamini ataenda mpasua Al ahly......
Unfortunately akakutana na kipigo ....

Then kolo wote wajiunga Kwa mamelodi [emoji23][emoji23] Ili ashinde ..then u all know what real happened....[emoji23][emoji23]
Ah washatoka wachezaji hawana hawa.
Ila walivyo wajinga watashughulishwa na Yanga kuliko timu lao kolouzdad.
Katika hii hatua timu zimekaza TP mazembe imemkazia Petro De Luanda.
Asec imemkazia Esperance akiwa kwa Tunisia.
Nina wasi wasi kuna timu kubwa nyingi kutoka na kuaga mashindano.
Nina wasi wasi sana.
 
Hata kocha wa Al Ahly akiwa Simba hawezi kuitoa Al Ahly pia. Tatizo sio kocha ni una wachezaji wa kiwango gani na ubora upi?
Simba msimu huu usajili haukuwa mzuri na isitoshe wachezaji tegemezi ni wale wale miaka tano sasa ingizo jipya hawana uzuri isipokuwa wachache labda wawili tena cha kawaida mno.
Yanga nimeamini wana kocha mzuri saana na kafanya wachezaji kucheza kwa kufurahia kwa umoja mfano. Mudathir, Mkude,Mzize ni wa kawaida mno lakini kaweka umoja mshikamano collective playing. Illa nao Yanga wakipotea kidogo hassa kocha na uongozi wana wachezaji wa kawaida mno, uzuri wana umoja.
Simba umoja upo mdomoni sana wana watu ndani wana ghubu.
Simba itaondolewa na Yanga pia.
Illa Mpira wa,Yanga hautabiriki huenda kwa asilimia chache wakafunga hata goli moja halafu mchezo ukawa mgumu kwa Mamelodi. Simba mpaka afunge goli Cairo apate nafasi tano... ambazo ngumu saana. Yote kwa yote siku chache zijazo ndio muamuzi.
Killa la heri Simba na Yanga.
 
Utopolo mnajua kuchonga,ijumaa saa Tano Usiku Utopolo Wote watakuwa Wamefungwa Midomo..!

Wakati huo huo mnyama atakuwa anaanza Maangamizi yake katika nchi ya Farao..!

Nchi hii Timu Kubwa na Timu kiongozi Kimataifa ni Moja tu....S.S.C, CAF wanalijua hilo...
Katika timu zote ni Simba tu kapigika tena kwake.
Asec mimosa ni bora kuliko Simba.
Asec kamkazia Esperance kwao Tunisia.
Ilhali wewe simba umepigwa kwako,unadhani kwa Pharaoh utapona??
Yanga tulipoenda Cairo tulibadilikiwa na wale waarabu mpaka sikuamini kama ndio tulicheza nao Mkapa.
 
Unatoa hoja/swali alafu unajijibu mwenyewe. Waswahili tukiamka na hangover tuna shida sana
Hapana mkuu...kama ulisoma shule....& na haukukimbia umande utaelewa
Kwenye research.....kunakitu kinaitwa research hypothesis.....so unauliza maswali but Kuna kuwa na prediction ya majibu Ili kumsaidia respondent
 
REKODI ZAIBEBA AL AHLY NYUMBANI, ZAIBANA SIMBA SC VIWANJA VYA UGENINI.

Rekodi ya Al Ahly ikiwa nyumbani ni nzuri kwani haijapoteza mchezo wowote tangu Mei mwaka jana katika michuano yote, ukiondoa kipigo cha 1-0 kutoka kwa USM Alger katika mechi ya CAF Super Cup ambao wao walikuwa wenyeji ila ikichezwa Uwanja wa usio na mwenyewe..

Mechi ya marudiano ya Al Ahly na Simba itapigwa Ijumaa ijayo jijini Cairo kuanzia saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na mshindi wa jumla atatinga nusu fainali kuumana na mshindi wa robo fainali nyingine kati ya Esperance ya Tunisia na Asec Mimosas ya Ivory Coast zilizokuwa zikicheza jana usiku.

Pia Simba haina rekodi nzuri kwa mechi za ugenini za kimataifa, hasa Kwa waarabu

Kwani kwa msimu huu pekee katika mechi nne ilizocheza hadi kufika robo fainali, haikushinda hata moja zaidi ya kufungwa na
Je Al Ahly yupo tayari safari yake ya kwenda nusu fainali isitishwe na Simba Sc na kuandika rekodi ya kufungwa wakiwa kwao Misri ?!!!
Huu utakuwa ni wendawazimu kuamini Simba atatoboa[emoji22]View attachment 2951227


Tafsiri ya picha hapo juu

Kolo before match alijiamini ataenda mpasua Al ahly......
Unfortunately akakutana na kipigo ....

Then kolo wote wajiunga Kwa mamelodi [emoji23][emoji23] Ili ashinde ..then u all know what real happened....[emoji23][emoji23]
Simba Kushinda Inawezekana kabisa 🐒
 
Utopolo mnajua kuchonga,ijumaa saa Tano Usiku Utopolo Wote watakuwa Wamefungwa Midomo..!

Wakati huo huo mnyama atakuwa anaanza Maangamizi yake katika nchi ya Farao..!

Nchi hii Timu Kubwa na Timu kiongozi Kimataifa ni Moja tu....S.S.C, CAF wanalijua hilo...
Simba jiandaeni tu na ligi ya bongo.... kimataifa hampo
 
Back
Top Bottom