Uchambuzi: Je, nini Robertinho ilibidi afanye ili kukwepa mnara wa 5G

Angepress hard kwenye kushambulia halafu awanyime Yanga Uhuru wa kucheza kama alivyofanya kwenye Simba 2-0 Yanga. Kuwaacha Yanga wachezee mpira kwa uhuru vile ipo siku hamsa itazaa hamsa mwezie[emoji1787]
Daah Ile mechi walishinda 2..0 walitukamia mwanzo mwisho [emoji1][emoji1]

Mzamiru ni kama alitumwa na kijiji
 
Jana Ahmed ally alikimbia uwanjani bila kuhojiwa[emoji1]
 
Angepress hard kwenye kushambulia halafu awanyime Yanga Uhuru wa kucheza kama alivyofanya kwenye Simba 2-0 Yanga. Kuwaacha Yanga wachezee mpira kwa uhuru vile ipo siku hamsa itazaa hamsa mwezie[emoji1787]
Kwenye ile game ya Simba 2-0 Yanga,Yanga hawakuweka nguvu zao kwenye hiyo game kutoka na tofauti kubwa ya points walizokuwanazo.Pili Yanga alikuwa ameelekeza akili yake kwenye mechi ya robo fainali dhidi ya Rivers United.
Nakuhakikishia kama Yanga angeitaka hiyo game,matokeo yasingekuwa vile.
 
Hata ngoma pale yanga hapati

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Hata ngoma pale yanga hapati

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Mimi nasema anapata, kila mtu na mtazamo wake, iwe kwa rotation ama vyovyote ngoma ana quality za kuanza pale yanga.

Timu ni muunganiko wa watu, ukifwa na kasoro kidogo flow inaharibika. Huyu huyo aucho akienda simba akacheza na kina mzamiru atakuwa hovyo kuliko ngoma, aziz huyu huyu akacheze simba hii atakuwa anaruka ruka tu.
 
4 3 2 1.
Kapombe Inonga Che malone M15
Mzamiru Ngoma Kanoute
Chama Kibu
Bocco.
 
Mwalimu hakumsoma vizuri opponent
 

Simba wamecheza tar 28 then tar 5 hapo uchovu unatoka wapi ? wachezaji wa bongo hawezi kuwa na uchovu sababu wana mechi chache sana .. Wanakaa muda mrefu sana bila kucheza, fuatilia ratiba za match bongo utaona hili. Suala la uchovu halipo bongo
 
Daah Ile mechi walishinda 2..0 walitukamia mwanzo mwisho [emoji1][emoji1]

Mzamiru ni kama alitumwa na kijiji
Baada ya magoli mawili kupatikana Baleke alishuka chini kusaidiana na akina Kanoute kukata umeme. Lile pira ni la kiroho mbaya sijawahi kuona. Washabiki wa Yanga walikuwa wamepanic na kuona Kila mchezaji wao mzembe kumbe walikuwa hata kudrible mara tatu tu hawaruhusiwi. Ukidrible tu, mtu anazama Uvunguni zinapigwa tackles mserereko balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Si kwa derby ya hizi timu. Ile siku Yanga walikuwa hawapewi Uhuru wa kudrible mpira kirahisi rahisi kama juzi eti akina Pacome wanateleza na Mpira halafu raia wanakabia macho kumsindikiza. Siku Ile nafasi ya kudrible mpira mara tatu Yanga walikuwa hawapewi. Zinakabwa nafasi,wanakabwa watu. Hakuna kwa kupumulia. Naona juzi Robertinho kaamka na huruma sana. Hata hamsa naona chache[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama unahoja vile, upo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…