Uchambuzi: Je, nini Robertinho ilibidi afanye ili kukwepa mnara wa 5G

Uchambuzi: Je, nini Robertinho ilibidi afanye ili kukwepa mnara wa 5G

Angepress hard kwenye kushambulia halafu awanyime Yanga Uhuru wa kucheza kama alivyofanya kwenye Simba 2-0 Yanga. Kuwaacha Yanga wachezee mpira kwa uhuru vile ipo siku hamsa itazaa hamsa mwezie[emoji1787]
Daah Ile mechi walishinda 2..0 walitukamia mwanzo mwisho [emoji1][emoji1]

Mzamiru ni kama alitumwa na kijiji
 
Makolo, mnahitaji kusajili wachezaji wa maana. Kwa team mliyonayo sasa hivi, nje ya first eleven, ni mchezaji mmoja tu au wawili ndio wanaweza kuleta impact uwanjani. Wengine wote magarasa.

Matokeo yake, mmekua mkiwatumia wachezaji walewale kila siku, kila mechi bila kufanya rotation kwa sababu benchi hakuna watu. Mbaya zaidi, wachezaji hao mnaowachezesha kila siku, umri umeenda sana. Matokeo yake ni exhaustion ya kufa mtu.

Game ya jana ilikua ni total domination, sio physically wala technically. Tuliwakamata kila sehemu!

NB: Wakati Gamondi anahudhuria mechi zenu mlimkashifu, mkamualika aje na mazoezini. Laiti mngejuaaaaa!
Jana Ahmed ally alikimbia uwanjani bila kuhojiwa[emoji1]
 
Angepress hard kwenye kushambulia halafu awanyime Yanga Uhuru wa kucheza kama alivyofanya kwenye Simba 2-0 Yanga. Kuwaacha Yanga wachezee mpira kwa uhuru vile ipo siku hamsa itazaa hamsa mwezie[emoji1787]
Kwenye ile game ya Simba 2-0 Yanga,Yanga hawakuweka nguvu zao kwenye hiyo game kutoka na tofauti kubwa ya points walizokuwanazo.Pili Yanga alikuwa ameelekeza akili yake kwenye mechi ya robo fainali dhidi ya Rivers United.
Nakuhakikishia kama Yanga angeitaka hiyo game,matokeo yasingekuwa vile.
 
Suala lipo wazi, yanga ni wana faida ya viungo, ukiacha na aucho na mudathiri ambao kinafasi ni viungo, kuna pacome, max na aziz ki ambao hawa kiuchezaji wana faida kubwa kwenye kiungo, ukiwa nao ni kama una viungo wengine wa kati, ambapo mwisho wa siku ikawa yanga midfielders wa5 vs wawili wa simba, yanga walituoverload simba pale kati

Kuwadhibiti hao si jambo jepesi jepesi kiuhalisi(kwa sababu simba haina midfielders wazuri, ukimtoa ngoma, ambaenae hawezi kumudu mziki wa watu wa5)
Robertinyo at least angecheza 4-4-2 diamomd formation, watu wa soka wananielewa nikisema diamond formation.
Dm angekuwa ngoma
LCM akawa mzamiru
RCM akawa kanoute.
Mzamiru na kanoute kidoogo wangeweza kuleta fujo pale kati, japo si CM nzuri zinakosa sifa nyiingi, hasa kutuliza timu na kupiga pasi sahihi na uchaguzi wa sehemu sahihi wa kupiga pasi, ila wangeleta fujo fujo, ngoma angeweza kuoperate kiurahisi kidogo.
Juu yao kwenye attacking midfielders angesimama chama.
Na kwanini chama si saidoo, chama anauweza wa kucheza na timu na kuichezesha timu, anauwezo wa kukomandi timu icheze vipi haswa akiwa na mpira mguuni.

Juu kabisa akamtumia aidha phiri na kibu au phiri na baleke(ila phiri asikosekane, kwanini, kwa sababu phiri anauwezo wa kushuka chini aka link up timu, akasogea nayo juu kimchezo, so angejikatia eneo lake kama Ls, yaani kuna wakati anakuwa striker anakuwa winger wa kushoto, kisha kibu akafanya fujo zake kutokea kulia)

Hi kidoogo ingeleta nafuu,

Nguvu ya yanga ni pale kati, hili nalizungumza hata msimu uliopita yanga walikuwa wanaweka sana boli chini na hii ni sababu ya midfielders wao wengi ni wazuri, ukitoa ngoma na chama wengine woote pale simba hawapati namba pale yanga(nazungumzia eneo la viungo)
Hata ngoma pale yanga hapati

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Hata ngoma pale yanga hapati

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Mimi nasema anapata, kila mtu na mtazamo wake, iwe kwa rotation ama vyovyote ngoma ana quality za kuanza pale yanga.

Timu ni muunganiko wa watu, ukifwa na kasoro kidogo flow inaharibika. Huyu huyo aucho akienda simba akacheza na kina mzamiru atakuwa hovyo kuliko ngoma, aziz huyu huyu akacheze simba hii atakuwa anaruka ruka tu.
 
Suala lipo wazi, yanga ni wana faida ya viungo, ukiacha na aucho na mudathiri ambao kinafasi ni viungo, kuna pacome, max na aziz ki ambao hawa kiuchezaji wana faida kubwa kwenye kiungo, ukiwa nao ni kama una viungo wengine wa kati, ambapo mwisho wa siku ikawa yanga midfielders wa5 vs wawili wa simba, yanga walituoverload simba pale kati

Kuwadhibiti hao si jambo jepesi jepesi kiuhalisi(kwa sababu simba haina midfielders wazuri, ukimtoa ngoma, ambaenae hawezi kumudu mziki wa watu wa5)
Robertinyo at least angecheza 4-4-2 diamomd formation, watu wa soka wananielewa nikisema diamond formation.
Dm angekuwa ngoma
LCM akawa mzamiru
RCM akawa kanoute.
Mzamiru na kanoute kidoogo wangeweza kuleta fujo pale kati, japo si CM nzuri zinakosa sifa nyiingi, hasa kutuliza timu na kupiga pasi sahihi na uchaguzi wa sehemu sahihi wa kupiga pasi, ila wangeleta fujo fujo, ngoma angeweza kuoperate kiurahisi kidogo.
Juu yao kwenye attacking midfielders angesimama chama.
Na kwanini chama si saidoo, chama anauweza wa kucheza na timu na kuichezesha timu, anauwezo wa kukomandi timu icheze vipi haswa akiwa na mpira mguuni.

Juu kabisa akamtumia aidha phiri na kibu au phiri na baleke(ila phiri asikosekane, kwanini, kwa sababu phiri anauwezo wa kushuka chini aka link up timu, akasogea nayo juu kimchezo, so angejikatia eneo lake kama Ls, yaani kuna wakati anakuwa striker anakuwa winger wa kushoto, kisha kibu akafanya fujo zake kutokea kulia)

Hi kidoogo ingeleta nafuu,

Nguvu ya yanga ni pale kati, hili nalizungumza hata msimu uliopita yanga walikuwa wanaweka sana boli chini na hii ni sababu ya midfielders wao wengi ni wazuri, ukitoa ngoma na chama wengine woote pale simba hawapati namba pale yanga(nazungumzia eneo la viungo)
4 3 2 1.
Kapombe Inonga Che malone M15
Mzamiru Ngoma Kanoute
Chama Kibu
Bocco.
 
Suala lipo wazi, yanga ni wana faida ya viungo, ukiacha na aucho na mudathiri ambao kinafasi ni viungo, kuna pacome, max na aziz ki ambao hawa kiuchezaji wana faida kubwa kwenye kiungo, ukiwa nao ni kama una viungo wengine wa kati, ambapo mwisho wa siku ikawa yanga midfielders wa5 vs wawili wa simba, yanga walituoverload simba pale kati

Kuwadhibiti hao si jambo jepesi jepesi kiuhalisi(kwa sababu simba haina midfielders wazuri, ukimtoa ngoma, ambaenae hawezi kumudu mziki wa watu wa5)
Robertinyo at least angecheza 4-4-2 diamomd formation, watu wa soka wananielewa nikisema diamond formation.
Dm angekuwa ngoma
LCM akawa mzamiru
RCM akawa kanoute.
Mzamiru na kanoute kidoogo wangeweza kuleta fujo pale kati, japo si CM nzuri zinakosa sifa nyiingi, hasa kutuliza timu na kupiga pasi sahihi na uchaguzi wa sehemu sahihi wa kupiga pasi, ila wangeleta fujo fujo, ngoma angeweza kuoperate kiurahisi kidogo.
Juu yao kwenye attacking midfielders angesimama chama.
Na kwanini chama si saidoo, chama anauweza wa kucheza na timu na kuichezesha timu, anauwezo wa kukomandi timu icheze vipi haswa akiwa na mpira mguuni.

Juu kabisa akamtumia aidha phiri na kibu au phiri na baleke(ila phiri asikosekane, kwanini, kwa sababu phiri anauwezo wa kushuka chini aka link up timu, akasogea nayo juu kimchezo, so angejikatia eneo lake kama Ls, yaani kuna wakati anakuwa striker anakuwa winger wa kushoto, kisha kibu akafanya fujo zake kutokea kulia)

Hi kidoogo ingeleta nafuu,

Nguvu ya yanga ni pale kati, hili nalizungumza hata msimu uliopita yanga walikuwa wanaweka sana boli chini na hii ni sababu ya midfielders wao wengi ni wazuri, ukitoa ngoma na chama wengine woote pale simba hawapati namba pale yanga(nazungumzia eneo la viungo)
Mwalimu hakumsoma vizuri opponent
 
Mkuu makaveli10 salam kwako.
Hongera kwa uchambuzi mzuri. Je mkuu makaveli10 haukoona fitness ya wachezaji wa simba ni Questionable? Je hukoona issue ya rotation kwa wacheji wa simba inatakiwa kuwa addressed ili kutengeza Match fitness kwa kundi kubwa la wachezaji? Mkuu tuende mbele na turudi nyumba, je unadhani kutumia formation uliyosema wakati wachezaji wana uchovu wa match ingesaidia chochote?
Ahsante

Simba wamecheza tar 28 then tar 5 hapo uchovu unatoka wapi ? wachezaji wa bongo hawezi kuwa na uchovu sababu wana mechi chache sana .. Wanakaa muda mrefu sana bila kucheza, fuatilia ratiba za match bongo utaona hili. Suala la uchovu halipo bongo
 
Daah Ile mechi walishinda 2..0 walitukamia mwanzo mwisho [emoji1][emoji1]

Mzamiru ni kama alitumwa na kijiji
Baada ya magoli mawili kupatikana Baleke alishuka chini kusaidiana na akina Kanoute kukata umeme. Lile pira ni la kiroho mbaya sijawahi kuona. Washabiki wa Yanga walikuwa wamepanic na kuona Kila mchezaji wao mzembe kumbe walikuwa hata kudrible mara tatu tu hawaruhusiwi. Ukidrible tu, mtu anazama Uvunguni zinapigwa tackles mserereko balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwenye ile game ya Simba 2-0 Yanga,Yanga hawakuweka nguvu zao kwenye hiyo game kutoka na tofauti kubwa ya points walizokuwanazo.Pili Yanga alikuwa ameelekeza akili yake kwenye mechi ya robo fainali dhidi ya Rivers United.
Nakuhakikishia kama Yanga angeitaka hiyo game,matokeo yasingekuwa vile.
Si kwa derby ya hizi timu. Ile siku Yanga walikuwa hawapewi Uhuru wa kudrible mpira kirahisi rahisi kama juzi eti akina Pacome wanateleza na Mpira halafu raia wanakabia macho kumsindikiza. Siku Ile nafasi ya kudrible mpira mara tatu Yanga walikuwa hawapewi. Zinakabwa nafasi,wanakabwa watu. Hakuna kwa kupumulia. Naona juzi Robertinho kaamka na huruma sana. Hata hamsa naona chache[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi nasema anapata, kila mtu na mtazamo wake, iwe kwa rotation ama vyovyote ngoma ana quality za kuanza pale yanga.

Timu ni muunganiko wa watu, ukifwa na kasoro kidogo flow inaharibika. Huyu huyo aucho akienda simba akacheza na kina mzamiru atakuwa hovyo kuliko ngoma, aziz huyu huyu akacheze simba hii atakuwa anaruka ruka tu.
Kama unahoja vile, upo sahihi
 
Back
Top Bottom