Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Salam Wana jf [emoji113][emoji113][emoji23]
Kabla ya mechi robertinho ilibidi aweke msisitizo mkubwa kwenye viungo ( kukaba sana) Ili kusumbuana na viungo wa Yanga
Kosa alilofanya robertinho ni kuruhusu mchezo wa kupishana na viungo wa Yanga ....coz kiasili wachezaji wote wa Yanga Wanakaba wakipoteza mpira .......lkn Chama, Phil.....hawakabi
Mwisho kabisa zilipofika goli 3 robertinho ilibidi atoe timu uwanjani akimbie ...... wanyakyusa tunasema heri nusu Shari kuliko Shari KAMILI
Hamsa [emoji113][emoji113][emoji23]
Kabla ya mechi robertinho ilibidi aweke msisitizo mkubwa kwenye viungo ( kukaba sana) Ili kusumbuana na viungo wa Yanga
Kosa alilofanya robertinho ni kuruhusu mchezo wa kupishana na viungo wa Yanga ....coz kiasili wachezaji wote wa Yanga Wanakaba wakipoteza mpira .......lkn Chama, Phil.....hawakabi
Mwisho kabisa zilipofika goli 3 robertinho ilibidi atoe timu uwanjani akimbie ...... wanyakyusa tunasema heri nusu Shari kuliko Shari KAMILI
Hamsa [emoji113][emoji113][emoji23]