Makolo, mnahitaji kusajili wachezaji wa maana. Kwa team mliyonayo sasa hivi, nje ya first eleven, ni mchezaji mmoja tu au wawili ndio wanaweza kuleta impact uwanjani. Wengine wote magarasa.
Matokeo yake, mmekua mkiwatumia wachezaji walewale kila siku, kila mechi bila kufanya rotation kwa sababu benchi hakuna watu. Mbaya zaidi, wachezaji hao mnaowachezesha kila siku, umri umeenda sana. Matokeo yake ni exhaustion ya kufa mtu.
Game ya jana ilikua ni total domination, sio physically wala technically. Tuliwakamata kila sehemu!
NB: Wakati Gamondi anahudhuria mechi zenu mlimkashifu, mkamualika aje na mazoezini. Laiti mngejuaaaaa!