Uchambuzi kuhusu Azizi Ki na dimba la Kati kwa ujumla

Uchambuzi kuhusu Azizi Ki na dimba la Kati kwa ujumla

UT
Nimeona post za wachambuzi ushabiki wanaochambua mpira kwa hasira baada ya kuona Yanga imepoteza mbele ya mwarabu (USM ALGER) kwa magoli ya mbili kwa moja.

Kila mchambuzi anatupa mzigo wa lawama kwa Azizi kii lakini hatujiulizi Azizi kii anapata mipira kutoka wapi??

Azizi kii alishindwa kuwalisha Kennedy musonda na Mayele kwa sababu alikuwa hapati mipira kwa wakati na ndiyo maana hatukuona pass mpenyezo kutoka kwa Azizi kii kwenda kwa musonda na Mayele.

Tatizo lilikua kwa namba nane (8) iliyochezwa na Mudathir Yahya wakati namba sita (6) uliochezwa na Yaniki bangala.

Asilimia kubwa ya mipira ikifika mbele kutoka kwa Bangala kuliko Mudathir Yahya Hana ubunifu wakuwahisha pass kwa wakati Kama ilivyo kwa Khalid Aucho au Salumu Abubakari "Sure boy".

Mudathir Yahya ni kiungo namba sita (6) kiuhalisia toka alivyokuwa Azam, ni mzito mno anapocheza namba nane (8).

Mudathir Yahya na Sure boy Bora Sure boy kucheza namba nane, Sasa hapo hakuna Sababu ya kuanza kumlaumu azizi kii wakati kiungo Cha Kati haswa namba nane kilikatikatika hakipekeki mipira kwa wakati.

Yanga Ina kikosi kipana lakini gape la Khalid Aucho lilionekana key passes kutoka kwa Aucho ni muhimu sana.
O si huwa wanasema hawana mchezaji tegemeo kuwa yeyote kwao anaweza kucheza na lisiwepo pengo.

Inakuaje tena Aucho anakumbukwa katikati ya msiba.
 
Azizi Ki jana mpira ulimkataa hilo haliwezi kukwepeka kujadiliwa, hata Nabi amesema hakuwa na option kwasababu hakuna namba 10 mwingine

Hakafu

Mnashindwa kukubali kuwa wapinzani waliwasoma nguvu yenu ipo wapi na jinsi gani waidhibiti.

Wapinzani waliona kwenye timu yenu mchezaji anayeweza kuwa na madhara ni Mayele.

Angalia namna waliyochagua kumdhibiti hapo ndio unapokuja utofauti wa kimbinu kati ya timu bora na timu regular

Wao hawakuchagua kumkaba Mayele directly badala yake wakaangalia ni nani na nani ambao wanamlisha mipira Mayele kisha wakaweka nguvu kwa hao watu kuhakikisha mipira haimfikii.

Ndio manaa hata ukiangalia bao lake alilofunga likikuwa ni bao katika mazingira magumu sana ambapo hakuhitaji kuliangalia goli kumpa green light kipa apate nafasi ya kujipanga
Namba 10 kitu gani brother, Siku hizi Mpira unachezwa kwa roles sio positions, moja ya shida naiona kwenye mpira wa leo huku kwetu ni wachezaji kutaka Ku occupy hizo rigid positions kwamba ni lazima Aziz awepo kwenye zone 14 bila kuzingatia phases of play, kitu kinachopelekea the team doesn't travel together, ukiwa unacheza Mpira kwa roles utaona namna mpira ulivyo simple na namna roles za wachezaji zinavyobadilka na ku affect the game cuz the lines are supporting one another na kila kitu kina flow. Kwa wanaoelewa mpira tatizo kubwa la Yanga ni coaching.
 
Jukumu lake halikuwa SECURITY, yy alipaswa kuattack, security alikuwa BANGALA.

Unaona jinsi gani uelewa wako ulivyo mdogo?
Endelea na mambo mengine brother, huwezi kuelewa ninachoandika hapa.
 
Uchambuzi wako ni very poor!!!kwani chama huwa anapata mipira kutoka wapi??kiungo mshambuliaji kusubiri mipira kama target man ni uzamani wenzie huwa wanarudi nyuma kutafta mipira na kuanzisha mashambulizi,sasa yeye jana alikuwa anasubiri tu kina bangala wahangaike afu akipewa anaishia kukaa na mpira zaidi ya sekunde 3 anapokonywa,kama huna uwezo wa kukaa na mpira toa haraka.

Mambo ya kukaa na mali waachiwe kina chama na sakho kwa kuwa wana uwezo huo,yeye kazi yake ni kukunja bukta,tu na kutandika mishuti ya kuua magoli kipa.
 
Wachambuzi wa JF kumbe sifuri tu, mtu unaanzaje kudowngrade performance ya Mudathir kwenye ile mechi, he was one of the outstanding players kwa upande wa Yanga, mchezaji ambaye at least ana offer security in the midfield( clean ball retention), many players were shit, Aziz ana potential kubwa and he needs to arrive there but he doesnt show that hunger, kitu nimegundua kwenye Mpira wetu wachezaji wetu wanataka vitu vitokee, they don't want to force the issue, Aziz always want the ball to feet, kama pasi haina weight basi Mpira umepotea, aina ile ya uchezaji inapelekea anakosa agility & concentration. Aziz anahitaji Ku redifine his game.
Well said
 
Kuna mtu nilimwambia juzi, kuwa kama Aucho hachezi Waarabu wanatufunga hawa!
 
Wachambuzi wa JF kumbe sifuri tu, mtu unaanzaje kudowngrade performance ya Mudathir kwenye ile mechi, he was one of the outstanding players kwa upande wa Yanga, mchezaji ambaye at least ana offer security in the midfield( clean ball retention), many players were shit, Aziz ana potential kubwa and he needs to arrive there but he doesnt show that hunger, kitu nimegundua kwenye Mpira wetu wachezaji wetu wanataka vitu vitokee, they don't want to force the issue, Aziz always want the ball to feet, kama pasi haina weight basi Mpira umepotea, aina ile ya uchezaji inapelekea anakosa agility & concentration. Aziz anahitaji Ku redifine his game.
Nenda katafute kazi ya namba nane dimbani uje hapa kukosoa hicho ulichokizungumza.
 
Uchambuzi wako ni very poor!!!kwani chama huwa anapata mipira kutoka wapi??kiungo mshambuliaji kusubiri mipira kama target man ni uzamani wenzie huwa wanarudi nyuma kutafta mipira na kuanzisha mashambulizi,sasa yeye jana alikuwa anasubiri tu kina bangala wahangaike afu akipewa anaishia kukaa na mpira zaidi ya sekunde 3 anapokonywa,kama huna uwezo wa kukaa na mpira toa haraka.

Mambo ya kukaa na mali waachiwe kina chama na sakho kwa kuwa wana uwezo huo,yeye kazi yake ni kukunja bukta,tu na kutandika mishuti ya kuua magoli kipa.
Kaangalie game upya, afu tafuta kazi ya namba 8. Tunalaumu sana, ila hatujui tatizo, we unadhani wanaposema PENGO LA AUCHO limeonekana huyo AUCHO ANACHEZA NAMBA 10?

TUMIA AKILI.
PENGO LA AUCHO MAANA YAKE NAMBA 8 ALIYECHEZA HAKUCHEZA VIZURI NA NDIO TATIZO LILIPO
 
Nimeona post za wachambuzi ushabiki wanaochambua mpira kwa hasira baada ya kuona Yanga imepoteza mbele ya mwarabu (USM ALGER) kwa magoli ya mbili kwa moja.

Kila mchambuzi anatupa mzigo wa lawama kwa Azizi kii lakini hatujiulizi Azizi kii anapata mipira kutoka wapi??

Azizi kii alishindwa kuwalisha Kennedy musonda na Mayele kwa sababu alikuwa hapati mipira kwa wakati na ndiyo maana hatukuona pass mpenyezo kutoka kwa Azizi kii kwenda kwa musonda na Mayele.

Tatizo lilikua kwa namba nane (8) iliyochezwa na Mudathir Yahya wakati namba sita (6) uliochezwa na Yaniki bangala.

Asilimia kubwa ya mipira ikifika mbele kutoka kwa Bangala kuliko Mudathir Yahya Hana ubunifu wakuwahisha pass kwa wakati Kama ilivyo kwa Khalid Aucho au Salumu Abubakari "Sure boy".

Mudathir Yahya ni kiungo namba sita (6) kiuhalisia toka alivyokuwa Azam, ni mzito mno anapocheza namba nane (8).

Mudathir Yahya na Sure boy Bora Sure boy kucheza namba nane, Sasa hapo hakuna Sababu ya kuanza kumlaumu azizi kii wakati kiungo Cha Kati haswa namba nane kilikatikatika hakipekeki mipira kwa wakati.

Yanga Ina kikosi kipana lakini gape la Khalid Aucho lilionekana key passes kutoka kwa Aucho ni muhimu sana.
Ukisikia wafia dini ndo wewe Sasa. Yaani wewe hata upigwe mawe kama Stefano utaendelea kumtetea Aziz Ki utadhani ni Malaika. Aziz alipokea pasi 9, 4 toka Kwa Bangala, 3 toka Kwa Mudathiri na 2 toka Kwa Job na Mwamnyeto lakini zote alipoteza. Siyo Kila siku utakuwa na siku nzuri kazini, Jana Nabi alikuwa na siku mbaya kazini Kwa kumvumilia Aziz akidhani atabadilika Hadi dakika zaidi ya 60 yumo kwenye Mechi ambayo imemkataa.
 
Setup ya Mudathiri ilitoka kwa Morrison pia

Morrison angeingia mapema nadhani angekuwa na impact kuliko Azizi Ki japo naye Morrison kuna muda anazinguaga ila kwa jana alionesha umakini
Uko sahihi Sana kiuchambuzi.
 
Azizi Ki jana mpira ulimkataa hilo haliwezi kukwepeka kujadiliwa, hata Nabi amesema hakuwa na option kwasababu hakuna namba 10 mwingine

Hakafu

Mnashindwa kukubali kuwa wapinzani waliwasoma nguvu yenu ipo wapi na jinsi gani waidhibiti.

Wapinzani waliona kwenye timu yenu mchezaji anayeweza kuwa na madhara ni Mayele.

Angalia namna waliyochagua kumdhibiti hapo ndio unapokuja utofauti wa kimbinu kati ya timu bora na timu regular

Wao hawakuchagua kumkaba Mayele directly badala yake wakaangalia ni nani na nani ambao wanamlisha mipira Mayele kisha wakaweka nguvu kwa hao watu kuhakikisha mipira haimfikii.

Ndio manaa hata ukiangalia bao lake alilofunga likikuwa ni bao katika mazingira magumu sana ambapo hakuhitaji kuliangalia goli kumpa green light kipa apate nafasi ya kujipanga
Ukiacha issue za ushabiki maandazi, mkuu mpira unaujua haswa.
Kongole sana kwako
 
Namba 10 kitu gani brother, Siku hizi Mpira unachezwa kwa roles sio positions, moja ya shida naiona kwenye mpira wa leo huku kwetu ni wachezaji kutaka Ku occupy hizo rigid positions kwamba ni lazima Aziz awepo kwenye zone 14 bila kuzingatia phases of play, kitu kinachopelekea the team doesn't travel together, ukiwa unacheza Mpira kwa roles utaona namna mpira ulivyo simple na namna roles za wachezaji zinavyobadilka na ku affect the game cuz the lines are supporting one another na kila kitu kina flow. Kwa wanaoelewa mpira tatizo kubwa la Yanga ni coaching.
Ila ni kocha ndio aliyetoa hizo sababu na tena alisema ingetokea hajampanga Azizi Ki watu wangekuja na malalamiko kuwa kupoteza mechi kumesababishwa na kukosekana kwa Azizi Ki
 
To me, kama kuna namba nyingine kwa Muda, basi bora acheze no 6. Hakuna game Mudathir alicheza namba 8, Yanga ikapata matokeo mazuri.
Ko Aziz kii acheze no 8? Tatizo Aziz kii mshamuweka untouchable, lol
 
Uchambuzi wako ni very poor!!!kwani chama huwa anapata mipira kutoka wapi??kiungo mshambuliaji kusubiri mipira kama target man ni uzamani wenzie huwa wanarudi nyuma kutafta mipira na kuanzisha mashambulizi,sasa yeye jana alikuwa anasubiri tu kina bangala wahangaike afu akipewa anaishia kukaa na mpira zaidi ya sekunde 3 anapokonywa,kama huna uwezo wa kukaa na mpira toa haraka.

Mambo ya kukaa na mali waachiwe kina chama na sakho kwa kuwa wana uwezo huo,yeye kazi yake ni kukunja bukta,tu na kutandika mishuti ya kuua magoli kipa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mchezaji kipenzi cha rais,unataka asafe kupambania mpira kama kina muda???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huo muda ana utoa wapiii kwani??
 
Kwa ile mipira aliokua anaipata na kuipoteza tumlaumu nani mudathir
 
Back
Top Bottom