Simba hapigwi chini ya 3 leo.Ukweli ni kwamba Simba wanakuaga na bahati tu wakiwa viwanja vya warabu. Jamaa hua wanakosa magpli mengi ya wazi. Naamini wydad wakiwa na utulivu wa kutosha Leo ushindi kwao lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba hapigwi chini ya 3 leo.Ukweli ni kwamba Simba wanakuaga na bahati tu wakiwa viwanja vya warabu. Jamaa hua wanakosa magpli mengi ya wazi. Naamini wydad wakiwa na utulivu wa kutosha Leo ushindi kwao lazima
Wachache sana tunaona hiki leo.mpka naona huruma kwa watakacho kutana nacho simba.
Leo mbona game inaisha mapema tu.Kipigo ni muhimu sana leo, ili kesho Mji uwe na utulivu.
Mnakuwa mmekula Nini.? Umevimbiwa?Baada ya kuwa na uzoefu mkubwa wa michuano hii ya CAF champions hiki ndicho kinachoenda kutokea Leo kati ya Simba na wydad Casablanca.
Simba anaenda kula 5+ ( means na kuendelea) Kwa sababu zifuatazo;
1. Simba wana uhitaji na matokeo, ila wydad Casablanca wana uhitaji zaidi kulingana na ukubwa wa timu hiyo.
3. Simba ugenini hasa Kwa waarabu Huwa Wana High inferiority complex hii itasababisha Washinde ku relax na kufanya makosa ambayo yatawagharimu.
2. Pressure itakuwa kubwa baina timu 2 then simba watashindwa kuhimili kutokana na kuwa na wachezaji wazee Simba watajikuta wanaruhusu goli za kutosha.
Mwisho matokeo ni: Wydad Casablanca 5.....1
View attachment 2837320
Vip Yanga anahusikaje hapa...kweli wabongo hamuuwezi mpira [emoji23]Kuna nyuzi mtu anaandika Hadi unaona aibu.
Unajiuliza alikuwa na haja gani ya kuposti vitu vya kufikirika.
Mtu yuko Newala huko anakwambia ana uzoefu wa Cafcl.
Kinachowasumbua Yanga Ni kutaka Simba akose ili tufanane,, mnaona Sana aibu kwa matokeo mnayopata.
Yanga ilijinasibu kwamba Ni bora San mpaka eti wanamtaka Mamelodi. Wana uwezo wa kumfunga yeyote Africa.
Mnaziendea mechi km mnacheza na Dodoma Jiji.
Uwanjani Ni kukimbia mwanzo mwisho.
Mlisahau Hawa Ni mabingwa wa nchi zao. Hili siyo shirikisho kombe la loser. Hamna Malumo, club Africain.
Mnataka Simba iwapunguzie maumivu.
Hamjasema bado wapuuzi nyie.Mlidhani Huku Kuna Zalan.Wao wako busy na Gamondo Pacome.....ndio guraha yao msimu huu....
Mbumbumbu wa Mpira Ndiyo wewe Sasa.Ukweli ni kwamba Simba wanakuaga na bahati tu wakiwa viwanja vya warabu. Jamaa hua wanakosa magpli mengi ya wazi. Naamini wydad wakiwa na utulivu wa kutosha Leo ushindi kwao lazima
we jamaa nae kila muda kuizungumzia simba, we pambana na gamondi huko jangwaniBaada ya kuwa na uzoefu mkubwa wa michuano hii ya CAF champions hiki ndicho kinachoenda kutokea Leo kati ya Simba na wydad Casablanca.
Simba anaenda kula 5+ ( means na kuendelea) Kwa sababu zifuatazo;
1. Simba wana uhitaji na matokeo, ila wydad Casablanca wana uhitaji zaidi kulingana na ukubwa wa timu hiyo.
3. Simba ugenini hasa Kwa waarabu Huwa Wana High inferiority complex hii itasababisha Washinde ku relax na kufanya makosa ambayo yatawagharimu.
2. Pressure itakuwa kubwa baina timu 2 then simba watashindwa kuhimili kutokana na kuwa na wachezaji wazee Simba watajikuta wanaruhusu goli za kutosha.
Mwisho matokeo ni: Wydad Casablanca 5.....1
View attachment 2837320
Hizi Ndiyo kauli za utopolo kwa Sasa.mpka naona huruma kwa watakacho kutana nacho simba.
👏👏Mbumbumbu wa Mpira Ndiyo wewe Sasa.
Kwahiyo unawasifu wanaopiga na hawafungi.
Simba wao hawapigi wakakosa?
Yanga Ni mangapi wanapiga na hawafungi?
Madeama walipata nafasi ngapi na hawakufunga.
Unaongea km mtoto wa chekechea
Hujui kitu!
Leo ni leo. Asemaye kesho ni muongo.Kuna nyuzi mtu anaandika Hadi unaona aibu.
Unajiuliza alikuwa na haja gani ya kuposti vitu vya kufikirika.
Mtu yuko Newala huko anakwambia ana uzoefu wa Cafcl.
Kinachowasumbua Yanga Ni kutaka Simba akose ili tufanane,, mnaona Sana aibu kwa matokeo mnayopata.
Yanga ilijinasibu kwamba Ni bora San mpaka eti wanamtaka Mamelodi. Wana uwezo wa kumfunga yeyote Africa.
Mnaziendea mechi km mnacheza na Dodoma Jiji.
Uwanjani Ni kukimbia mwanzo mwisho.
Mlisahau Hawa Ni mabingwa wa nchi zao. Hili siyo shirikisho kombe la loser. Hamna Malumo, club Africain.
Mnataka Simba iwapunguzie maumivu.
Kila heri bado masaa 2 tu mtasema leooo....sio Ihefu za mdondo na bahasha....metinMgunda atatuvushaas pyuuuuHamjasema bado wapuuzi nyie.Mlidhani Huku Kuna Zalan.
Kila mtu ashinde mechi zake