Uchambuzi: Kwanini Simba inashinda sana mechi zisizo na umuhimu

😂😂😂😂😂😂😂
Ni kuwatoa nyongo tu mwaka huu.
 
Waarabu, simba alimtoa zamalek akiwa bingwa wa afrika hukohuko misri, subirini msimu ujao mkitane na waarabu wa kweli
Inawezekana hata wewe ulikuwa not yet born
 
Shida gan?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kurusha mpira miwili......kuwasha moshi

Kupoteza time ...inshort mwarabu alichanganyikiwa na shughuli ya wanaume
 
Ndio kawaida Yao. Wanaweza kumleta mchezaji mzuri ( Manzoki) siku isiyo muhimu na siku muhim za usajili wakamleta Sawadogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…