Uchambuzi: Maeneo yatakayoiangusha Simba SC kuchukua Kombe la FA, NBCPL na Ngao

Hisia nyingi wakati hata iyo Simba aijui.Namba sita wapo viungo wawili namba nane pia wapo viungo wawili.

Namba kumi wapo watatu,namba 11 pia wapo watatu.
wewe umewaona Merquesone,Chama,Kanoute na Muzamir mbona Kibu mifataki hujamtaja?
Kwani kipindi kile mlikua mnaviungo wangapi wakabaji??

Mbona wengine hawakucheza??

Kama timu iNampangia kocha acheze Nani na nan??
Unadhadhani chama atakaa nje na Mikson ??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
HUNA AKILI
 
Hayo ni maoni yako tunashukuru. Lakini Kwa maoni yangu na wengine hujagusa eneo ambalo Simba wako weak. Kama alivyo binadamu yeyote timu hata iwe nzuri kiasi gani lazima iwe na udhaifu sehemu Fulani. Yanga na Azam Wana maeneo Yao dhaifu, Madrid na Barcelona Wana maeneo Yao yenye udhaifu. Vivyo hivyo Kwa Man city na Liverpool.
Kwa Simba eneo ninaloona ni dhaifu kwao ni beki ya Kati.
Wakati utaongea.
 
Reactions: BRN
Beki wa Kati watakuaje Bora Kama viungo wakabaji ni dhaifu???

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unaipenda sana simba tatizo baba ako wa kufikia ambae ndio anaeleta chakula nyumbani kwenu amekulazimisha uwe utopolo. Ndio mana huishi kuamdioa nyuzi za kuiponda simba ili muendelee kwenda chooni
 
Unaipenda sana simba tatizo baba ako wa kufikia ambae ndio anaeleta chakula nyumbani kwenu amekulazimisha uwe utopolo. Ndio mana huishi kuamdioa nyuzi za kuiponda simba ili muendelee kwenda chooni
Na aliyekuzaa pia umemsahau[emoji41]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ila utopolo???mna nini lakini
 
Reactions: BRN
Uozo upo utopoloni..vyura wamekufa wamezagaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…