Uchambuzi: Magoli ya Simba ni ya bahati, bado ni mbovu

Uchambuzi: Magoli ya Simba ni ya bahati, bado ni mbovu

Leo nmerudia kutazama mechi ya Al ahly na Simba kwanza niwapongeze Wana Simba Kwa kuhimili mikikimikiki ya waarabu japo wangekua makini Al ahly wangeshinda goal 7

Back to the topic
Magoli waliyofanikiwa kuyapata Simba hayakuwa technical (kiufundi) ni magoli ya bahati kiasi Kwamba inakuwa ngumu kuwa judge Simba kuwa wamecheza vizuri .... mfano rejea goal la kwanza la Al ahly unaona kabisa Kuna build up ya kikosi kwenda kufunga ( that's technical goals)

But goals za simba zilikuwa za ndondokela ( bahati ) since hauoni jitihada zozote za kufunga....mfano kanoute mwenye hakujua kuwa kafunga anashtuka tu watu wanashangilia nae analiunga so japo huu ni kama ushindi wa Simba....japo Kwa sisi professional wa soccer tunajua kua Simba habari yao kwishnei

NB: yawezekana uchambuzi wangu hapa jf ulimsaidia robertinho kufungwa goals chache ..badala ya 7..japo alizingua kumuingiza bishoo ( onana)
Wana jf nipeni maua yanguView attachment 2787941
Kwahiyo na Wewe Ni mchambuzi. Umechambua mechi ya Simba vs Al Ahly.

Ni ajabu Sana! Mtu chochote kinachokujia kwenye hisia ZAKO unakileta humu.

Magoli ya bahati! Simba hawakucheza Moira kabisa.
 
Leo nmerudia kutazama mechi ya Al ahly na Simba kwanza niwapongeze Wana Simba Kwa kuhimili mikikimikiki ya waarabu japo wangekua makini Al ahly wangeshinda goal 7

Back to the topic
Magoli waliyofanikiwa kuyapata Simba hayakuwa technical (kiufundi) ni magoli ya bahati kiasi Kwamba inakuwa ngumu kuwa judge Simba kuwa wamecheza vizuri .... mfano rejea goal la kwanza la Al ahly unaona kabisa Kuna build up ya kikosi kwenda kufunga ( that's technical goals)

But goals za simba zilikuwa za ndondokela ( bahati ) since hauoni jitihada zozote za kufunga....mfano kanoute mwenye hakujua kuwa kafunga anashtuka tu watu wanashangilia nae analiunga so japo huu ni kama ushindi wa Simba....japo Kwa sisi professional wa soccer tunajua kua Simba habari yao kwishnei

NB: yawezekana uchambuzi wangu hapa jf ulimsaidia robertinho kufungwa goals chache ..badala ya 7..japo alizingua kumuingiza bishoo ( onana)
Wana jf nipeni maua yanguView attachment 2787941
Authentic bonehead! Asshole!
 
Performance ya simba dhidi ya al ahly imewatisha sana yanga yani hawakutegemea ndo maana nyuzi za kila dakika haziishi humu jukwaani. Wanasimba vumilieni tu huo wote uoga na hawajaamini kilichotokea hivyo wanataka kutu-win kisaikolojia waturudishe tena kwenye ( simba inacheza papatu papatu) ..Na kwa mpira wa jana, tukikutana tena na vyura zile 5 zita wahusu maana simba tumejitafuta na tumejipata. Yangu ni hayo tu..
 
Ashura cheupe mnafki wa taifa aliposema utopolokwinyo wenye akili ni wawili alikua sahihi, pitisheni bakuli tuwachangie mkalipie upumbavu mlioufanya kwa mabwana zenu Ihefu kwa sababu tunajua nyie ni maskini wa pesa na akili, hizo ngonjera peleka kwa wanawake wenzio huku kwa wanaume hatutaki kelele
 
Leo nmerudia kutazama mechi ya Al ahly na Simba kwanza niwapongeze Wana Simba Kwa kuhimili mikikimikiki ya waarabu japo wangekua makini Al ahly wangeshinda goal 7

Back to the topic
Magoli waliyofanikiwa kuyapata Simba hayakuwa technical (kiufundi) ni magoli ya bahati kiasi Kwamba inakuwa ngumu kuwa judge Simba kuwa wamecheza vizuri .... mfano rejea goal la kwanza la Al ahly unaona kabisa Kuna build up ya kikosi kwenda kufunga ( that's technical goals)

But goals za simba zilikuwa za ndondokela ( bahati ) since hauoni jitihada zozote za kufunga....mfano kanoute mwenye hakujua kuwa kafunga anashtuka tu watu wanashangilia nae analiunga so japo huu ni kama ushindi wa Simba....japo Kwa sisi professional wa soccer tunajua kua Simba habari yao kwishnei

NB: yawezekana uchambuzi wangu hapa jf ulimsaidia robertinho kufungwa goals chache ..badala ya 7..japo alizingua kumuingiza bishoo ( onana)
Wana jf nipeni maua yanguView attachment 2787941
Huna Kaz za kufanya Hadi urudie kutazampira wa Simba kweli
 
Ukiumbuka chutama.. Ukiongea unazidi kujidhalilisha labda tu kwa kukubali umepotoka!
Linganisha post yako hii ni zile nyingi kabla ya mechi. Ni mbingu za ardhi.. Mpira ni magoli sio chenga! Uchambuzi wowote baada ya mechi kwa mtu alikuwa biased na kila aina ya kejeli unabaki kuwa uchambuzi wa kipuuzi na kujifariji
Ningekuwa mimi ninepiga kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu
 

Simba kaiheshimisha Tanganyika mbele ya dunia: Wachambuzi uchwara karibuni mtoe nyongo zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema tukiweka utani pembeni....Jan Simba mlicheza kiume sana .....waarabu hawakuamini walichokutana nacho [emoji23][emoji23]

Chemolone alimficua Percy Tau adi Tau akaanza kucheza rafu
 
Kwahiyo na Wewe Ni mchambuzi. Umechambua mechi ya Simba vs Al Ahly.

Ni ajabu Sana! Mtu chochote kinachokujia kwenye hisia ZAKO unakileta humu.

Magoli ya bahati! Simba hawakucheza Moira kabisa.
Kwan Kuna uongo hapo?
 
Performance ya simba dhidi ya al ahly imewatisha sana yanga yani hawakutegemea ndo maana nyuzi za kila dakika haziishi humu jukwaani. Wanasimba vumilieni tu huo wote uoga na hawajaamini kilichotokea hivyo wanataka kutu-win kisaikolojia waturudishe tena kwenye ( simba inacheza papatu papatu) ..Na kwa mpira wa jana, tukikutana tena na vyura zile 5 zita wahusu maana simba tumejitafuta na tumejipata. Yangu ni hayo tu..
Magoli ya bahati [emoji23]
 
Leo nmerudia kutazama mechi ya Al ahly na Simba kwanza niwapongeze Wana Simba Kwa kuhimili mikikimikiki ya waarabu japo wangekua makini Al ahly wangeshinda goal 7

Back to the topic
Magoli waliyofanikiwa kuyapata Simba hayakuwa technical (kiufundi) ni magoli ya bahati kiasi Kwamba inakuwa ngumu kuwa judge Simba kuwa wamecheza vizuri .... mfano rejea goal la kwanza la Al ahly unaona kabisa Kuna build up ya kikosi kwenda kufunga ( that's technical goals)

But goals za simba zilikuwa za ndondokela ( bahati ) since hauoni jitihada zozote za kufunga....mfano kanoute mwenye hakujua kuwa kafunga anashtuka tu watu wanashangilia nae analiunga so japo huu ni kama ushindi wa Simba....japo Kwa sisi professional wa soccer tunajua kua Simba habari yao kwishnei

NB: yawezekana uchambuzi wangu hapa jf ulimsaidia robertinho kufungwa goals chache ..badala ya 7..japo alizingua kumuingiza bishoo ( onana)
Wana jf nipeni maua yanguView attachment 2787941
Sawa Simba wamebahatisha haya nendeni nyie mkafunge magoli ya kideoni ila mhakikishe huo mwiko huko nyuma mnaudidimiza kabisa kabla ya kupanda ndege.
 
Sawa Simba wamebahatisha haya nendeni nyie mkafunge magoli ya kideoni ila mhakikishe huo mwiko huko nyuma mnaudidimiza kabisa kabla ya kupanda ndege.
Hawa Al Ahly[emoji1093]siku wakikutana Yanga SC[emoji1241]pale kwa makapa watapasuliwa za kutosha kwa sababu kuna muda wanajisahau kuziba nafasi hasa ukiwashambulia kwa kasi

Na ni moja ya siraha ya Yanga ni kasi wanashambulia kwa speed sana kiasi kwamba ukiwaachia tu nafasi kidogo lazima wakufunge"

[emoji2399]Alex Ngereza
 
Back
Top Bottom