Uchambuzi: Mambo 10 na kwanini shambulizi la Iran limefanikiwa kwa asilimia 100%

Subiri uone huo mziki anaokuja nao myaudi. Tena Iran aombe sana kusiwe naraia aliyekufa, maana Israeli ana cho fanya anasitisha opreshen ya Palestine na ya hezbollaa anarudisha jeshi,ana lituma iran atapigwa juu chini, tyar neta nyau kashaongea na mrusi aondoe watu wake huko Iran na baadhi ya nchi maana ,ana kwenda kuichoma Iran na mafuta yake kaa utulie usikilize huo mziki CD buku
 
Casualities lazima itokee hasa kwa askari ambao wanakuwa kwenye base ila raia wote wako ndani ya bunkers, bado makombora hayo yamefikiwa kiasi kikubwa, asilimia kubwa zinadondoka scraper zilizodondoshwa na anti- missiles za Israel
 
Mbona Uweleweki kwenye Coment Yako? ANDIKA Kwa kutulia, Eti Umesikia Iran Wana Mpango wa kuishamblia Iran, Duuuuuu Unakimbilia Wapi Wewe ? Unakuwa kama Muislam wa Buva Kwa Mparange Mvaa kobazi?
 
Mbona Uweleweki kwenye Coment Yako? ANDIKA Kwa kutulia, Eti Umesikia Iran Wana Mpango wa kuishamblia Iran, Duuuuuu Unakimbilia Wapi Wewe ? Unakuwa kama Muislam wa Buva Kwa Mparange Mvaa kobazi?
Hiyo si kukosea tu ndugu yangu....
 
Ulichoandika hapo ni muhemko Ila sio kama ilivyo!

Kama Marekani alishatoa hiyo taarifa Ina maana Israel aliji@ndaa!
 
Hayo mambo 10 umegundua ukiwa kusini mwa jangwa la Sahara? Hahaha
 
Mtalia na Hakuna atakayewafuta machozi. Maana hatakuwepo wa kuwahurumia
 
Vita ya Tatu ya dunia inanukia. Kama nchi za Russia, China, USA, UK, na zingine zitaingilia kusaidia upande wao vita itakuwa kubwa sana.
 
Vita ya Tatu ya dunia inanukia. Kama nchi za Russia, China, USA, UK, na zingine zitaingilia kusaidia upande wao vita itakuwa kubwa sana.
Russia vita alivyonavyo vinamtosha, China hana time na vita, UK yupo kama hayupo.

USA hana mchongo mwingine tofauti na vita.
 
samahani shabiki wa vita naomba kuuliza uhusiano wako ni upi kati ya hao wayahudi na wapalestina?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…