Yani hayo makomboraJamaa wanajifariji wakati % kubwa ya makombora ya Iran yameshushwa
Israel au mmarekani?Israel akijibu msiseme neno
Bila watu Kufa hayo ndio madhara? UpuuziVibomu dhaifu kambi na target zote zimelipuliwa na madhara ni makubwa?[emoji23]
Israel Huwa hawatoi taarifa ya kushambulia ila wao eti wanatoa taarifa,hii ni Michezo ya Kisiasa Ili wafanye maigizo kama haya hapa 👇👇Kûna Watu mnaakili Sana.
Tangu lini Adui akatoa tàarifa. NI Watu wajinga ndîo huweza Kuamini hip vita zinazoendela Huko.
Hizo vita NI kama biashara ya Mpira