UCHAMBUZI: Nani ana makosa, Ali Kiba na Fid Q au Harmonize?

UCHAMBUZI: Nani ana makosa, Ali Kiba na Fid Q au Harmonize?

Iyo ni English ya SADC tafadhali kumbe kiasi flani kinakuchenga๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Daah! Kinanichenga sana. Hizo vokabyurali mpya kabisa kwangu. Nina safari ndefu sana!
 
Alikuja na jopo la watu huku wamejivisha vifaa vya kutunzia mabomu... Yaani harmonize analindwa kuliko Mohammed dewij

Unadhani HuyoMarehem waliyeenda kumuaga msibani angekuwa na walinzi kama Harmonize, tungekuwa tunajadili swala hili humu LA unafiki na ushamba wa Alikiba na Mtumzima hovyoo Fdq?.
 
Kijana tafuta kazi ya kufanya. Ujinga huu haukusaidii
 
Ahsante msemaji wa pande zote 3 yaani (KondeGang, rock star& wafiwa wote)
 
Ukisoma nilichoandika hapo juu kwa umakini utanielewa. Ishu ya mtu kulindwa kwa kiwango kipi sio show off - Ni kipimo cha usalama wake.

Kuna vitu jamaa wanavifanya. Kwa kujua au kutokujua wanatengeneza maadui. Kwa mfano utata wa kifo cha huyo dogo bado unaona kuwa na bodyguards ni kero, kweli?
hata kama ishu ni kuwa na walinzi, sio kwa dizaini ile ya huyo dogo.
zile ni show off za kijinga.
 
hata kama ishu ni kuwa na walinzi, sio kwa dizaini ile ya huyo dogo.
zile ni show off za kijinga.
Hela katafuta mwenyewe kwanini unampangia ku-spend.?

Iwe ni show off iwe ni ulinzi what business is it of you?
 
Hela katafuta mwenyewe kwanini unampangia ku-spend.?

Iwe ni show off iwe ni ulinzi what business is it of you?
Acha kutetea ujinga wewe ,.
Bil Gate ana hela ila hawezi fanya show off za kijinga kama hizo.
Mshauri huyo dogo kama ana hela afanye uwekezaji wa maana hizi show off za kijinga ni matumizi mabaya ya fedha.
hawa hawa ndio kesho na keshokutwa anaugua kidogo anaanza kuchangisha watu fedha za matibabu.
hayo anayoyafanya ni matumizi mabayu ya fedha.
Sijui huyo dogo ana hela kiasi gani, ila mimi mwenyewe nina hela na kuna kampuni ya ulinzi nimeipa kazi ya kulinda Mali zangu pamoja na kunilinda mimi.
mimi binafsi ninalindwa sanasana usiku nikiwa nimelala nyumbani kwangu ninapoishi (nyumba yangu nimejenga) , mchana kwenye mishemishe zangu sina mlinzi na ikiwa kama kuna ishu nataka kufanya nikiwa na wasiwasi natafuta kampani ya mshkaji,
ila muda wote sikosi bastola karibu yangu.
WASHAURINI HAO VIJANA WATUMIE HELA ZAO VIZURI INAKUWA KAMA HAWANA UCHUNGU NA JASHO LAO WAKIYUMBA KIDOGO TU WANAOMBA MSAADA
HALAFU MASIFA YOTE HAYO ANAISHI NYUMBA YA KUPANGA anazidiwa hadi na malaya shishi,
PUMBAVU ZENU KABISA PAMOJA NA WEWE UNAYETETEA UPUUDHI
 
Mwenye makosa ni harmonize yaani wakubwa zake wanajishusha wanampisha adi kwenye viti ili akae yeye yeye anaendelea kugawa tu mikono niutovu wa nidham
Ni wakubwa wake kiumri,but na wao pia ni wadogozake kimziki ko wangepaswa kumuheshimu harmonize eboooooh.
 
IMG_20190829_194729_421.jpg
 
Back
Top Bottom