Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,044
- Thread starter
- #21
๐๐๐ Daah! Mi sio mkurya mbonaMwenyewe nimeamua kuelewa makala yako sababu ya ID pia.....mura weito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ Daah! Mi sio mkurya mbonaMwenyewe nimeamua kuelewa makala yako sababu ya ID pia.....mura weito
Ewaaa!kila mtu ale kuku wake, kila mtu aishi maisha yake.
Iyo ni English ya SADC tafadhali kumbe kiasi flani kinakuchenga๐๐๐๐๐๐๐ Daah! Mi sio mkurya mbona
๐๐๐ Daah! Kinanichenga sana. Hizo vokabyurali mpya kabisa kwangu. Nina safari ndefu sana!Iyo ni English ya SADC tafadhali kumbe kiasi flani kinakuchenga๐๐๐๐
Alikuja na jopo la watu huku wamejivisha vifaa vya kutunzia mabomu... Yaani harmonize analindwa kuliko Mohammed dewij
It doesn't matter the location. It matters he's safe.Kuna ulazima wa walinzi misibani?
Umejuaje sina kazi. In physics, hata kutembea ni kazi.Kijana tafuta kazi ya kufanya. Ujinga huu haukusaidii
Sure.mambo yao ni matatizo yao wenyewe
hata kama ishu ni kuwa na walinzi, sio kwa dizaini ile ya huyo dogo.Ukisoma nilichoandika hapo juu kwa umakini utanielewa. Ishu ya mtu kulindwa kwa kiwango kipi sio show off - Ni kipimo cha usalama wake.
Kuna vitu jamaa wanavifanya. Kwa kujua au kutokujua wanatengeneza maadui. Kwa mfano utata wa kifo cha huyo dogo bado unaona kuwa na bodyguards ni kero, kweli?
Hela katafuta mwenyewe kwanini unampangia ku-spend.?hata kama ishu ni kuwa na walinzi, sio kwa dizaini ile ya huyo dogo.
zile ni show off za kijinga.
Acha kutetea ujinga wewe ,.Hela katafuta mwenyewe kwanini unampangia ku-spend.?
Iwe ni show off iwe ni ulinzi what business is it of you?
Ni wakubwa wake kiumri,but na wao pia ni wadogozake kimziki ko wangepaswa kumuheshimu harmonize eboooooh.Mwenye makosa ni harmonize yaani wakubwa zake wanajishusha wanampisha adi kwenye viti ili akae yeye yeye anaendelea kugawa tu mikono niutovu wa nidham