Uchambuzi: Ni mjinga tu ataamini Simba wata droo au kuifunga Al ahly

Uchambuzi: Ni mjinga tu ataamini Simba wata droo au kuifunga Al ahly

We jamaa Labani unaona vizuri kabisa!

Mi pia naona iko wazi tu kuwa Simba tayari ni marehemu tunachosubiri jangwani ni ile saa tu mnyama atayochinjwa!! Wale mbumbumbu thimba kwa masifa basi watajaza uwanja na wasichokijua ni kuwa wataangukia pua! Ni vibaya Sana binadamu kushabikia vitu vibovu!!! Timu gani haina namba 9 ukipiga pini Chama na Saidoo thimba inadedi unajipia khamsa!

Zamani niliwahi kusema humu kuwa Super League thimba watacheza mechi mbili tu na ikawa, nikasema Derby Simba watakufa khamsa na ikawa, nilichokosea ni kusema thimba haitotoboa makundi ikabidi wakimbilie pemba kwa mganga na wakatoboa!

Ile nyimbo ya solidarity forever kuhamasisha sijaipenda maana asili yake ni mtu alie chini anaekandamizwa anaepigania haki zake , tuliimba sana kudai mikopo Udsm na kumkandia kabaila Mr Mkono!! Yani ina maana Yanga tumeshashindwa kabla ya kucheza ?
Ile nyimbo inafaa thimba wanaotobolewaga robo fainali kawaida yao kuonewa ila Yanga hatujaonewa na timu yoyote si tunapiga tu kila anaeleta pua, hata Azam bila kuumiza mastaa wa Yanga na kupata msaada wa kupewa magoli ya off side kama la Feitoto hawatuwezi! Na wao wanajua!
Huwa nashangaa hawa mashabiki wanavyojitoa ufahamu.....kuwashabikia mamelodi....huku wao wakidhani wao washamaliza kazi
 
Mara ya mwisho na rabiri zako uliombwa upigwe ban, sasa hivi huna maombi?
 
Kila nikipita mitandaoni Huwa nacheka sana kuona makolo [emoji250] [emoji250] wakifarijiana Kwamba wataenda semi final there for wamtoe Al ahly hizi ni ndoto za abunwasi ( waste of time)

Yaani timu inayoshika nafasi ya tatu ndio ikamtoe Al ahly bingwa wa Egypt???? ...tuache utani kabisa....

Kwa defense mbovu ya. Simba tegemea kuwa Percy Tau ataondoka na magoli sio chini ya 5 [emoji113] then bado yule mchezaji mwenye manywele nae atapiga 3

Nb: kama tu Yanga ( bingwa) alisumbuliwa na Al ahly.....Je huyu mshindi wa 3 ( kolo) ....sindo atakula kichapo Cha 8-0 ...then taifa litaaibishwa [emoji22][emoji22]View attachment 2942322
Basi na mimi nitakuwa mjinga tu!

Maana naamini Simba atawafunga Hal Hail, halafu na Yanga atawafunga Main load.

Hapo vipi, nimekuwa mjinga maradufu au?
 
Basi na mimi nitakuwa mjinga tu!

Maana naamini Simba atawafunga Hal Hail, halafu na Yanga atawafunga Main load.

Hapo vipi, nimekuwa mjinga maradufu au?
Ujinga wako ni mmoja tu, upande wa mbumbumbu fc umechemka, unaanzaje kuwapa ushindi thimba timu bomu, timu haina namba 9? Watamfungaje sasa Al Ahly, kidume wao wa Super Cup?

Upande wa pili umepatia sana kabisa kusema Yanga itaibomoa Mamaload , home and away !! Mechi ukiona Ki,Max,Pacome,Mudathir na Aucho wote wako uwanjani ujue mtu lazima auwawe na kuliwa na manyoya yake!
 
Ujinga wako ni mmoja tu, upande wa mbumbumbu fc umechemka, unaanzaje kuwapa ushindi thimba timu bomu, timu haina namba 9? Watamfungaje sasa kidume wao wa Super Cup?

Upande wa pili umepatia sana kabisa kusema Yanga itaibomoa mamaload home and away !! Mechi ukiona Ki,Max,Pacome,Mudathir na Aucho wote wako uwanjani ujue mtu lazima auwawe!
Ahaaaa, kumbe wewe unawakandia tu mnyama Simba.
 
Kila nikipita mitandaoni Huwa nacheka sana kuona makolo [emoji250] [emoji250] wakifarijiana Kwamba wataenda semi final there for wamtoe Al ahly hizi ni ndoto za abunwasi ( waste of time)

Yaani timu inayoshika nafasi ya tatu ndio ikamtoe Al ahly bingwa wa Egypt???? ...tuache utani kabisa....

Kwa defense mbovu ya. Simba tegemea kuwa Percy Tau ataondoka na magoli sio chini ya 5 [emoji113] then bado yule mchezaji mwenye manywele nae atapiga 3

Nb: kama tu Yanga ( bingwa) alisumbuliwa na Al ahly.....Je huyu mshindi wa 3 ( kolo) ....sindo atakula kichapo Cha 8-0 ...then taifa litaaibishwa [emoji22][emoji22]View attachment 2942322
Huyu Percy Tau mbona mnakuza Sana? Kwa Sasa Percy ni mchezaji wa kawaida tu.
 
Basi na mimi nitakuwa mjinga tu!

Maana naamini Simba atawafunga Hal Hail, halafu na Yanga atawafunga Main load.

Hapo vipi, nimekuwa mjinga maradufu au?
Kwa Yanga ... everything is possible
 
Huyu Percy Tau mbona mnakuza Sana? Kwa Sasa Percy ni mchezaji wa kawaida tu.
Ofcourse ni wa kawaida akikutana na timu yenye spidi.....but akikutana na timu slow Kam Simba basi Huwa ni kiumbe kikatili sana
 
Back
Top Bottom