Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kwa Sisiemu inavyojulikana, hapo hakuna namba itatoka. Subirini jina jipya kabisa ndipo mtashangaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi aliyemwekea sumu Mzee Mangula alipatikana ?
Hao sawa na Erythrocyte tuu huko Chadema.Vipi kuhusu hawa Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah ?
Eti Paul Kimiti na Yusufu Makamba nao wamo?Acheni wazee wapumzike na kulea wajukuu na vitukuu vyao. Mtu ana miaka 80 kwa nini asumbuliwe hadi sasa kana kwamba hakuna damu mpya awezaye kuyaendeleza yale yanayotakiwa katika Karne hii?
Umehisi kama nilivyohisi tokea nilipoona tangazo la chama juu ya mkutano mkuu.Tanzania are saddists…. What makes chakademus trend ni jinsi wanavyovuana nguo
But stability is sasa ya chama dume is next to none
Na makamu atakua kijana, no one would expect