Uchambuzi: Simba huko robo fainali tujiandae kupata aibu

Aibu mnaipata leo au kesho ( maana uwanja umejaa maji)nyie watopolo

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwani nyie hiyo Loosers cup mushachukua maana naona uko bize na Simba tu kana uto hamna shughuli yoyote, hii kiataalamu inaitwaje?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni kweli kwamba yanga wenye akili wako wawili eeh???sa hii ndo nini??
 
Wananchiiii watashinda mkuu
 
Mnajua ukweli gani nyie mwanzo mlisema hatutoingia robo fainali lakini tumeingia kibabe kwa kumchabanga mtu goli 7 bila na subirini mshuhudie mwingine akitandikwa goli 8 kwenye robo fainali.
Mme shaumaliza MWENDO mkuu
 
Wananchiiii watashinda mkuu
Na sipingi wananchi au simba kushinda kimataifa hiyo inakua sifa kwetu sisi mfano jana lazima duniani kwenye michezo wamepata habari za goli 7 from tz na leo yanga wawafumue watu hata goli 10 ili tuendelee kuzungumziwa zaidi
 
Na sipingi wananchi au simba kushinda kimataifa hiyo inakua sifa kwetu sisi mfano jana lazima duniani kwenye michezo wamepata habari za goli 7 from tz na leo yanga wawafumue watu hata goli 10 ili tuendelee kuzungumziwa zaidi
Hakika mkuu
 
Hata kama mpira unadunda lkn ndoto hizo achana Nazo mkuu.. ...hatuna kikosi Cha kutufikisha huko
 
Timu ikifanya vizuri ni uungwana kuipongeza hiyo tabia ya kudiss kila kitu ni uchoko aka uchokoz
 
Mpira una maajabu ......Raja aliyempiga 3 kolo. Ndiye huyu aliye droo na viper ...
Broo hiyo ni champions league inabidi uelewe..timu zote ni kubwa lolote linaweza kutokea
 
Hata wakipata aibu lakini lengo lao la kufika robo fainali wamelifikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…