Uchambuzi: Simba ikimfunga Yanga nipigwe ban wiki

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kwema wakuu

Baada ya kufanya uchambuzi wa kina nimegundua yafuatayo

Yanga inakikosi Bora sana ( Galacticos) ....hiki ni kikosi Bora sana kuwahi kuwepo hapa baraani Africa hivyo basi hakuna timu inaweza kuifunga

Yanga Ina wachezaji wenye match fitness 100% kiasi Kwamba wao Hadi mwisho wa mchezo Wana Kasi na nguvu tofauti na timu ya Simba

Yanga wanajituma sana
Kikosi cha Yanga kina wachezaji wenye morali kubwa ya kupambana uwanjani tofauti na Simba

Hivyo basi Kwa uchambuzi huu naamini kuwa Simba atakandwa heavily 4_0 na Yanga

NB @moderators kama Simba ataifunga yanga basi Kwa akili zangu timamu ....naomba nipigwe ban ya wiki Moja Ili niwe responsible Kwa uchambuzi wangu





Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wafuatao ni majeruhi na Kesho hawatakuwa sehemu ya mchezo:
1. Kharid Aucho
2. Ibrahim Hamad Bacca
3. Dickson Job
 
Hujakoma bado?
 
Umekuwa. Ukisema upigwe ban mara nyingi, hilo halitoshi, kwasasa utoe ahadi ya nyumba, mali viwanja au pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…