Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Tundu Lissu anaweza kumshinda Dkt. Magufuli na Maalim Seif anaweza kuibuka kidedea Zanzibar

Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Tundu Lissu anaweza kumshinda Dkt. Magufuli na Maalim Seif anaweza kuibuka kidedea Zanzibar

Mimi nimeanza kufunga leo kutokunywa vodka yangu pendwa wala chochote mpaka Jumatano.
Mungu akubariki.
Mungu mbariki mleta uchambuzi SHANTI.
Mungu wabariki Watanzania wanaoitakia mema Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu akubariki sana
 
Babu madevu, Antiphas hawa kuwa ma Rais kwenye hii nchi wasahau. Utaona watanzania wazalendo watakachofanya kesho kutwa. Watu wapo kuhakiki majina yao kila pembe ya taifa hili.
 
Back
Top Bottom