Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

makomeo kichwa hupataga moto ukizingatia ile timu ya watu 32 wameishapotezana!
 
Ni comedian fulani, hapishani na mwimbaji mmoja aliyeahidi wanafunzi kufanyia practical mwezini.
 
kuna vipara aina nyingi sana kipara cha type kama ya magufuli watu kama hawa huwa na mambo mengi sana ya kipuuzi na pia wanajuwa kudanganya sana ! uwongo wao huwa unanguvu sana akikudanganya hupinduwi labda uwe unajuwa anacho kudanganyia kama mlikuwa hamjuwi kuwait siyo nchi mngekubali !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hata Wa Kumtoa Babu Seya Jela,kumfufua Balali Naye IQ Yake Vipi?Anayesema Serikali Ya Ccm Haijafanya Chochote Wakati Alikuwa Waziri Mkuu Je?Anayesema Ccm Watoe Hirizi Zao Ikulu Wakati Miaka Yote Alisaidiana Nao Kuziweka Naye Huyu Vipi?

Wamebadilika!
 
Ni comedian fulani, hapishani na mwimbaji mmoja aliyeahidi wanafunzi kufanyia practical mwezini.



Ni shidaaaa... naumia sanaaa..!!!

He has PhD... imagine...!! aaah..!!
 

i agree with you...
 
Atatengeneza RELI zenye kiwango cha LAMI.... Seriously??? Hahahaa



Yule Dr. wa CCM, ktk kipindi cha ITV cha Alfred Masako... alinishangaza sana..!!

Alisema watatengeneza RELI KWA KIWANGO CHA LAMI...!!!

Alfred Masako, akarudi, Dr. unasema..?

Akasema tena, CCM ikirudi madarakani..TUTATENGENEZA RELI za kisasa kwa kiwango cha LAMI...😨😨😨😨

omg..!! Niliishiwa nguvu... ku chanji channel haraka sana..!!
 
Kweli kabisaaa


Mm nadhani hayuko sawa... kuna tatizo
..

Sijui kama CCM wanampa mambo ya kuongea au yeye anaongea yake tu..

Naona, hawampi wasaidizi wa kumpangia aongee nini... sbb BULEMBO ndio msaidizi wake, darasa la 7, ni aibu..
sbb Bulembo is very primitive..

Magufuli ni PhD holder, but hajui SIASA... IQ yake haiko sawa..sasa CCM wamemwacha tu..

Kuna tatizo mahali..!!
 

IQ yako ni sub-zero, pure shitt umeandika. You really expect to convince people to join your dancing with this piece of utter garbage? Poor you! and the worst thing is you reflect the rest of your crew's level of intelligence.
 

 
Duh...naiogopa sheria na mm ningeweka analysis yangu



Sheria kwa mambo ya kweli haina tatizo...

Hapo kuna UONGO wowote..? hakuna..yote kasema yeye Magufuli...

CCM haijampa wasaidizi wazuri i hope wa kumpangia aseme nini, na wapi..!

Bulembo hafai, anazidi mpoteza Magufuli... lazima tuseme ukweli..!!
 
yule mwingine aki test hata moja tu nampa kura yangu
 

Attachments

  • 1443015851458.jpg
    38.4 KB · Views: 70
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…