Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,017
- 1,733
Ha ha ha! Chezea hapa kazi tu, Tumeshamuelewa sana Magufuli, kura atapata za kutosha mpaka kupitiliza kuliko wanavyofikiri, huo ndo ukweli acheni kujitoa fahamu, EL ndo nani.... Ha ha ha ha! acha nicheke mie, yaani kiulaini kabisa ikulu njia nyeupe kwa JPM.
Hujitambui mbumbu na ndio maana unafata mkumbo,nchi hii jamani,toka kikwete anaingia madarakani,umeme shida,hospital majanga,rushwa ndo usiseme hadi hivi magufuli anaende kuongea yaleyale aliyoyasema kikwete lkn bado majitu yanadanganyika yaani mazoba hayataisha Tanzania hii.