Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kweli kuwa mama yako mzazi anaitwa Miss ZERO kwa sababu alibebeshwa mimba akiwa mtoto yaani "underKwasababu MR ZERO,,(sumaye)alisha jibu mapema wewe ndo hukumsikiliza
Rais John Pombe Magufuli katika Uongozi wake anatarajia kuwabana wale wote wanaohusika na kurudisha nyuma matokeo makubwa ya Serikali ikiwemo watendaji wabovu. Rais anatarajia kuwa na kitengo maalumu kwa ajili ya kudhibiti mianya ya rushwa na udanganyifu katika manunuzi serikalini.
Ni kweli kabisa rais wetu mtarajiwa wewe ni rais tayari tunasubili muda tu uwapishwe
Rais John Pombe Magufuli katika Uongozi wake anatarajia kuwabana wale wote wanaohusika na kurudisha nyuma matokeo makubwa ya Serikali ikiwemo watendaji wabovu. Rais anatarajia kuwa na kitengo maalumu kwa ajili ya kudhibiti mianya ya rushwa na udanganyifu katika manunuzi serikalini.
Huu ni upuuzi, badala ya kutushawishi tumchague, anazungumzia kuwabana watendaji, hizo pot holes kwenye barabara zingekuwapo kama angekuwa anajua kuwabana watendaji? Pathetic!!
Ni Magufuli tu