Uchaguzi 2020 Uchambuzi wa ilani ya CCM 2020-25 kwenye kupambana na umaskini na uwezeshaji wa wananchi kiuchumi

Uchaguzi 2020 Uchambuzi wa ilani ya CCM 2020-25 kwenye kupambana na umaskini na uwezeshaji wa wananchi kiuchumi

Joined
Sep 8, 2020
Posts
67
Reaction score
133
ILANI YA CCM 20200-1.jpg
Na Bwanku M Bwanku.

Baada ya mafanikio makubwa ya awamu ya kwanza ya miaka mitano ya Serikali ya CCM katika kupambana na umaskini na kuwawezesha wananchi ikiwemo kusaidia vikundi vya wajasiriamali kimafunzo, kisera na kimikopo, wafanyabiashara wadogo na kuwawezesha vijana pamoja na mpango wa kuwezesha kaya maskini kupitia TASAF, bado Serikali ya awamu ya 5 imepanga kuongeza nguvu zaidi kwa miaka mitano ijayo ili kupunguza umaskini na uwezeshaji wa wananchi.

Sura ya pili ya Ilani ya CCM ya 2020-25, kipengele cha 34 kilichopo ukurasa wa 23 hadi 25 imeeleza hatua zaidi zitakazochukuliwa na Serikali itakayoundwa na CCM kuhakikisha wananchi wanaendelea kuwekewa mazingira mazuri ili waweze kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo kwa kutekeleza yafuatayo:-

(a) Kutoa msukumo katika kuhamasisha na kusimamia uanzishwaji na usajili wa vikundi vyenye mwelekeo wa ushirika na makampuni pamoja na kuwawezesha kupata mitaji kupitia mikopo yenye masharti nafuu.

(b) Kufuatilia kwa karibu utoaji wa elimu ya ujasiriamali unaofanywa na wadau mbalimbali ili kuhakikisha kwamba elimu inayotolewa inakidhi viwango.

(c) Kuwezesha vijana, wanawake na makundi mengine ya wajasiriamali kujiajiri kwa kuwapatia mafunzo na stadi za ujasiriamali na usimamizi wa shughuli za kiuchumi.

(d) Kuimarisha mifuko na programu zinazolenga kuwezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili waweze kujiajiri na kutoa ajira kwa wengine.

(e) Kuwa na programu maalum za kuwezesha vijana waliomaliza taasisi za elimu ya juu na kati kujiajiri na kuajirika.

(f) Kuanzisha utaratibu wa kuwakopesha vifaa na mitaji kwa masharti nafuu wanafunzi wanaomaliza mafunzo ya ufundi.

Zaidi kwenye Sura hiyohiyo ya pili, Serikali ya CCM kwa miaka mitano ijayo itaendelea zaidi na mkazo kwenye mambo yafuatayo ili kupambana na umaskini na uwezeshaji wa wananchi kiuchumi:-

i. Kubuni na kutekeleza mikakati ya kuhakikisha kuwa elimu ya ujasiriamali inayotolewa na wadau mbalimbali ikiwemo sekta binafsi na Asasi za kiraia ina ubora unaokidhi.

ii. Kushirikiana na wadau kuanzisha vituo vya vya uendelezaji wajasiriamali (enterprise development centres) kwa lengo la kuwajengea uwezo na kuwawezesha wananchi kupata ithibati za kimataifa ili kupanua wigo wa fursa za ajira na biashara.

iii. Kuimarisha viwanda vilivyopo na kuhamasisha uanzishwaji wa viwanda vipya vya kuchakata mazao ya kilimo, mifugo, samaki na rasilimali nyingine za maji kwa kutumia taasisi za umma, sekta binafsi na vikundi.

iv. Kuboresha kasi ya utekelezaji Awamu ya Tatu ya TASAF ili kuwafikia wananchi maskini katika vijiji/mitaa yote.

TUMETEKELEZA KWA KISHINDO, TUNASONGA MBELE PAMOJA.
 
Na Bwanku M Bwanku.

Baada ya mafanikio makubwa ya awamu ya kwanza ya miaka mitano ya Serikali ya CCM katika kupambana na umaskini na kuwawezesha wananchi ikiwemo kusaidia vikundi vya wajasiriamali kimafunzo, kisera na kimikopo, wafanyabiashara wadogo na kuwawezesha vijana pamoja na mpango wa kuwezesha kaya maskini kupitia TASAF, bado Serikali ya awamu ya 5 imepanga kuongeza nguvu zaidi kwa miaka mitano ijayo ili kupunguza umaskini na uwezeshaji wa wananchi.

Sura ya pili ya Ilani ya CCM ya 2020-25, kipengele cha 34 kilichopo ukurasa wa 23 hadi 25 imeeleza hatua zaidi zitakazochukuliwa na Serikali itakayoundwa na CCM kuhakikisha wananchi wanaendelea kuwekewa mazingira mazuri ili waweze kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo kwa kutekeleza yafuatayo:-

(a) Kutoa msukumo katika kuhamasisha na kusimamia uanzishwaji na usajili wa vikundi vyenye mwelekeo wa ushirika na makampuni pamoja na kuwawezesha kupata mitaji kupitia mikopo yenye masharti nafuu.

(b) Kufuatilia kwa karibu utoaji wa elimu ya ujasiriamali unaofanywa na wadau mbalimbali ili kuhakikisha kwamba elimu inayotolewa inakidhi viwango.

(c) Kuwezesha vijana, wanawake na makundi mengine ya wajasiriamali kujiajiri kwa kuwapatia mafunzo na stadi za ujasiriamali na usimamizi wa shughuli za kiuchumi.

(d) Kuimarisha mifuko na programu zinazolenga kuwezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili waweze kujiajiri na kutoa ajira kwa wengine.

(e) Kuwa na programu maalum za kuwezesha vijana waliomaliza taasisi za elimu ya juu na kati kujiajiri na kuajirika.

(f) Kuanzisha utaratibu wa kuwakopesha vifaa na mitaji kwa masharti nafuu wanafunzi wanaomaliza mafunzo ya ufundi.

Zaidi kwenye Sura hiyohiyo ya pili, Serikali ya CCM kwa miaka mitano ijayo itaendelea zaidi na mkazo kwenye mambo yafuatayo ili kupambana na umaskini na uwezeshaji wa wananchi kiuchumi:-

i. Kubuni na kutekeleza mikakati ya kuhakikisha kuwa elimu ya ujasiriamali inayotolewa na wadau mbalimbali ikiwemo sekta binafsi na Asasi za kiraia ina ubora unaokidhi.

ii. Kushirikiana na wadau kuanzisha vituo vya vya uendelezaji wajasiriamali (enterprise development centres) kwa lengo la kuwajengea uwezo na kuwawezesha wananchi kupata ithibati za kimataifa ili kupanua wigo wa fursa za ajira na biashara.

iii. Kuimarisha viwanda vilivyopo na kuhamasisha uanzishwaji wa viwanda vipya vya kuchakata mazao ya kilimo, mifugo, samaki na rasilimali nyingine za maji kwa kutumia taasisi za umma, sekta binafsi na vikundi.

iv. Kuboresha kasi ya utekelezaji Awamu ya Tatu ya TASAF ili kuwafikia wananchi maskini katika vijiji/mitaa yote.

TUMETEKELEZA KWA KISHINDO, TUNASONGA MBELE PAMOJA.
 
View attachment 1565413Na Bwanku M Bwanku.

Baada ya mafanikio makubwa ya awamu ya kwanza ya miaka mitano ya Serikali ya CCM katika kupambana na umaskini na kuwawezesha wananchi ikiwemo kusaidia vikundi vya wajasiriamali kimafunzo, kisera na kimikopo, wafanyabiashara wadogo na kuwawezesha vijana pamoja na mpango wa kuwezesha kaya maskini kupitia TASAF, bado Serikali ya awamu ya 5 imepanga kuongeza nguvu zaidi kwa miaka mitano ijayo ili kupunguza umaskini na uwezeshaji wa wananchi.

Sura ya pili ya Ilani ya CCM ya 2020-25, kipengele cha 34 kilichopo ukurasa wa 23 hadi 25 imeeleza hatua zaidi zitakazochukuliwa na Serikali itakayoundwa na CCM kuhakikisha wananchi wanaendelea kuwekewa mazingira mazuri ili waweze kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo kwa kutekeleza yafuatayo:-

(a) Kutoa msukumo katika kuhamasisha na kusimamia uanzishwaji na usajili wa vikundi vyenye mwelekeo wa ushirika na makampuni pamoja na kuwawezesha kupata mitaji kupitia mikopo yenye masharti nafuu.

(b) Kufuatilia kwa karibu utoaji wa elimu ya ujasiriamali unaofanywa na wadau mbalimbali ili kuhakikisha kwamba elimu inayotolewa inakidhi viwango.

(c) Kuwezesha vijana, wanawake na makundi mengine ya wajasiriamali kujiajiri kwa kuwapatia mafunzo na stadi za ujasiriamali na usimamizi wa shughuli za kiuchumi.

(d) Kuimarisha mifuko na programu zinazolenga kuwezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili waweze kujiajiri na kutoa ajira kwa wengine.

(e) Kuwa na programu maalum za kuwezesha vijana waliomaliza taasisi za elimu ya juu na kati kujiajiri na kuajirika.

(f) Kuanzisha utaratibu wa kuwakopesha vifaa na mitaji kwa masharti nafuu wanafunzi wanaomaliza mafunzo ya ufundi.

Zaidi kwenye Sura hiyohiyo ya pili, Serikali ya CCM kwa miaka mitano ijayo itaendelea zaidi na mkazo kwenye mambo yafuatayo ili kupambana na umaskini na uwezeshaji wa wananchi kiuchumi:-

i. Kubuni na kutekeleza mikakati ya kuhakikisha kuwa elimu ya ujasiriamali inayotolewa na wadau mbalimbali ikiwemo sekta binafsi na Asasi za kiraia ina ubora unaokidhi.

ii. Kushirikiana na wadau kuanzisha vituo vya vya uendelezaji wajasiriamali (enterprise development centres) kwa lengo la kuwajengea uwezo na kuwawezesha wananchi kupata ithibati za kimataifa ili kupanua wigo wa fursa za ajira na biashara.

iii. Kuimarisha viwanda vilivyopo na kuhamasisha uanzishwaji wa viwanda vipya vya kuchakata mazao ya kilimo, mifugo, samaki na rasilimali nyingine za maji kwa kutumia taasisi za umma, sekta binafsi na vikundi.

iv. Kuboresha kasi ya utekelezaji Awamu ya Tatu ya TASAF ili kuwafikia wananchi maskini katika vijiji/mitaa yote.

TUMETEKELEZA KWA KISHINDO, TUNASONGA MBELE PAMOJA.
Tatizo hamuifati akishinda anaanza kutumia akili binafsi.Angalia mnayoyasifia kama yalikuwa kipaumbele kwenye ilani ilopita.
 
Nimeusoma Makala yote na nimeona madini makubwa na mazito Sana. Ilani kwakweli imetekelezwa na Sasa twende pamoja kwa Kishindo tukatekeleza awamu ya Pili
 
Mkuu unaweza kuandika wazo zuri lakini kikikosa solid data tu support unachokisema yanakuwa Sana maneno ya kanga.

Go extra mile weka takwimu Basi boss
 
Tatizo hamuifati akishinda anaanza kutumia akili binafsi.Angalia mnayoyasifia kama yalikuwa kipaumbele kwenye ilani ilopita.
Kama umeisoma Ilani ya CCM, Uchaguzi Mkuu 2015, taja ni yapi yamefanya nje ya Ilani, la nyamaza usionekana juha.
 
Andiko zuri sana limefafanua mambo makuu ya msingi katika taifa hili
Ni kweli kabisa, limejaribu kugusia Mambo yote ya muhimu ambayo serikali itakayoundwa na chama Cha mapinduzi itazichukua ili kuinua maisha ya kawaida ya mtanzania ikiweka wazi suala la mpango wa taifa wa kunusuru kaya maskini maarufu Kama TASAF.
 
Mkuu unaweza kuandika wazo zuri lakini kikikosa solid data tu support unachokisema yanakuwa Sana maneno ya kanga.

Go extra mile weka takwimu Basi boss
Ni sahihi kabisa kitu chochote kinachoenda bila data Basi hakina ukweli wa kulidhibitisha japo Kuna Mambo ambayo hata kwa macho yanaonekana na hayana haja ya kwenda extra miles kukielezea kwani Kila mmoja wetu analifahamu kwa namna moja ama nyingine.

TASAF imekuwa mkombozi mkubwa kwa kaya nyingi makini na wapo wengi imewasaidia kuinua Hali yao ya kiuchumi Kama vile kuwasaidia kupata hela ya kuanzishia biashara ndogondogo pamoja na kuanza ufugaji mdogo amabao unawawezesha kuendesha na kukidhi mnahitaji muhimu ya kibinadamu kama vile kuwezesha watoto wao kwenda shule na kukidhi mnahitaji ya kifamilia
 
Ni sahihi kabisa kitu chochote kinachoenda bila data Basi hakina ukweli wa kulidhibitisha japo Kuna Mambo ambayo hata kwa macho yanaonekana na hayana haja ya kwenda extra miles kukielezea kwani Kila mmoja wetu analifahamu kwa namna moja ama nyingine.

TASAF imekuwa mkombozi mkubwa kwa kaya nyingi makini na wapo wengi imewasaidia kuinua Hali yao ya kiuchumi Kama vile kuwasaidia kupata hela ya kuanzishia biashara ndogondogo pamoja na kuanza ufugaji mdogo amabao unawawezesha kuendesha na kukidhi mnahitaji muhimu ya kibinadamu kama vile kuwezesha watoto wao kwenda shule na kukidhi mnahitaji ya kifamilia
Good ilani ya CCM imebeba ukombozi wa umasikini kwa watanzania wengi walio wanyonge
 
Bado kwa hayo yote wanasema maendeleo ya vitu, inabidi turudishane shule tutoe maana ya maendeleo/development kuwa ni gradual
 
Nipo napitia Ilani za Uchaguzi Vyama vitatu kwa Siku Kadhaa sasa.
-Ccm
-Chadema
-ACT Wazalendo.

Nilianza Kupitia Kurasa za Elimu katika ilani zote tatu,Elimu kama kipaumbele changu cha Kwanza.

Africa/dunia ya Watu/Black People, IMO -Naona hapa katika Ilmu tunakwama sana,

Tukiwekeza na kufanya Mageuzi Kwenye Mifumo ya Elimu Tutaushangaza Ulimwengu.


Ilani ya CCM-Katika suala la Elimu (Sayansi na Teknolijia) Naipa F.




Baada ya kumuona Mwamama Queen "Cathie" Mgombea Pekee(Njisia Ke) wa Urais Uchaguzi 2020,

Itabidi Pia Niipitie ADC Ilani yao Siku ikizinduliwa,


Hivyo nitapitia Ilani 4 za Uchaguzi.
 
Back
Top Bottom