Uchambuzi wa kina kuhusu kozi za computer - IT, Computer science, Computer Engineering, Software engineering na Cyber security

Iko vizuri sana hii mada...
 
Bogus, mwajiri anakupima kwa kile unachokiweza project zako and practical interview nahisi bado uko shule unasoma huelewi chochote kama unajidanganya CS na GPA vitakubeba your wrong hakuna janja janja huku.
Niko shule Bado Nani kasema , alafu punguza miemko usipembe kutukana
Nimesema wanapewa kipaumbele hapa KAZI ( kiwandani)Watu WA CS kuliko IT
 
Niko shule Bado Nani kasema , alafu punguza miemko usipembe kutukana
Nimesema wanapewa kipaumbele hapa KAZI ( kiwandani)Watu WA CS kuliko IT
Mihemko anayo mama yako aliyekuzaa, CS mwenye akili hawezi fanya kazi kiwanda cha mambulula kama wewe ashindwe kwenda sehemu za maana
 
Yani unatumia nguvu na MATUSI sana kupinga na ukweli Sawa endelea hapo hapo nahisi Mbele ukijafanya KAZI wizarani au kwenye viwanda vikubwa au kampuni za uendeshi program ndyo utajua nani anapewa kipaumbele kati ya CS na IT
Sitareply tena unatumia MATUSI sana kupinga ukweli
Mihemko anayo mama yako aliyekuzaa, CS mwenye akili hawezi fanya kazi kiwanda cha mambulula kama wewe ashindwe kwenda sehemu za maana
 
Mihemko anayo mama yako aliyekuzaa, CS mwenye akili hawezi fanya kazi kiwanda cha mambulula kama wewe ashindwe kwenda sehemu za maana
wewe itakuwa jobless na IT Yako unajua kwanini ukusoma computer science nafanya kazi kiwanda local nenda Search Eacop . Kaaa hapo hapo na ki IT CHAKO ambacho akipewi kipaumbele IT ni Sawa na ICT
 
Anayepewa kipaumbele ni mtu anayejua ndio maana Google na makampuni makubwa hayaombi cheti ila project au product zako au huijui Hilo!?
Hayo makampuni makubwa ya kuizidi google, apple kwenye ict industry ni yapi!?
 
wewe itakuwa jobless na IT Yako unajua kwanini ukusoma computer science nafanya kazi kiwanda local nenda Search Eacop . Kaaa hapo hapo na ki IT CHAKO ambacho akipewi kipaumbele IT ni Sawa na ICT
Unajisifia kuajiriwa wakati ni utumwa, kweli wewe ni tabla lasa.
Nina project zangu ambazo hakuna kampuni inayoweza kataa kufanya kazi na mimi tz.
Wewe komaa na cs.
 
Hii bongo kazi sana aisee, mtu kaandika maada yake huko kuweka madini lakini wewe umeweka umakini kwenye spelling errors, tena kwenye jukwaa la tech ? hebu kajadili spelling errors jukwaa la Ras simba kama lipo
[emoji3][emoji3][emoji120]
 
Na sina hakika kama wewe uko kwenye industry ya IT huwezi kukosea kuandika practical ukaandika practicle zaidi ya mara tatu usigundue wakati kwenye industry ukikosea hata nukta ni system hai-run.
Mtu katumia Muda wake kushusha mzigo wote huo wewe ulichokiona ni kukosea kuspel kitu kimoja...hebu acha wivu wa kike Mpe Mau yake
 
Napenda kufafanuliwa zaidi kuhusu course ya Communication systems Technology Engineering.

Inahisiana na nini na mtubakiisoma anaweza kuajiliwa kama nani au kijiajili kwa kazi zip?
 
KUNA VYOU I.T , Wanasomea
Programming,
Web Dev, Design
web apps dev
Graphics Designing
Networking,
Database..
Software development...
Computer repair
Etc..
 
Ipi bora kati ya IT na hiyo Communication systems Technology Engineering????? Na Chuo cha DIT ni kizur kwa course hiyo ya CST???
 
KUNA VYOU I.T , Wanasomea
Programming,
Web Dev, Design
web apps dev
Graphics Designing
Networking,
Database..
Software development...
Computer repair
Etc..
Bdo sijaelewa kwan Course ya Communication systems Technology Engineering anasoma masomo gan au anaesomea nn?? au ndo hiyo hiyo IT???
 
Ipi bora kati ya IT na hiyo Communication systems Technology Engineering????? Na Chuo cha DIT ni kizur kwa course hiyo ya CST???
Soma Computer science utakuwa software Developer or Software engineer it's better kama unapenda fani hiyo na unajitihada binafsi resources ni nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…