Uchambuzi wa Manara: Yanga wanaweza kuinunua Simba

Hadhi ya budget mkuu......ni sawa na thamani ya simba
Unadhan MO akitaka kuinunua Simba yoteyote (sio 49% peke yake) kwa sasa ndio atalipa hizo 20Bil?

Yaani miaka 6 nyuma kipindi Simba haijulikani hata Africa anunue nusu ya Simba kwa 20bil kisha sasa Simba ipo top 10 za CAF ndo Simba nzima ije kua valued kwa 20Bil?
 
Hadhi ya budget mkuu......ni sawa na thamani ya simba
Sijajua hiyo terminology bado. Najua huwa kuna bajeti, siwezi kutoa comment kuhusu 'hadhi ya bajeti' maana sijawahi kukutana na jambo hilo
 
Bajeti ya msimu ujao ya Yanga Bilioni Ishirini,ni sawa na pesa ambazo Makolo wameuza Club yao
na bajeti ya Yanga upande wa mapato, inatoka kwa mwanachama wa Simba.
Yanga inaweza kuinunua Simba, ila Simba imeishainunua Yanga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…