Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Unadhan MO akitaka kuinunua Simba yoteyote (sio 49% peke yake) kwa sasa ndio atalipa hizo 20Bil?Hadhi ya budget mkuu......ni sawa na thamani ya simba
Yaani miaka 6 nyuma kipindi Simba haijulikani hata Africa anunue nusu ya Simba kwa 20bil kisha sasa Simba ipo top 10 za CAF ndo Simba nzima ije kua valued kwa 20Bil?