Uchambuzi wa Shaffih Dauda na kuvuruga ari ya watanzania

Uchambuzi wa Shaffih Dauda na kuvuruga ari ya watanzania

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
451
Huyu jamaa anajiita mchambuzi wa soka hapa Tanzania.. Lakini uchambuzi wake ni uchambuzi wa kubomoa, kuponda na kuondoa ari ya soka waliokuwa Nayo watanzania ...uchambuzi uliojaa fitina na chuki za kishamba na kishabiki na hajui maana au tafsiri ya underdog ...... Alisababisha kutoka mwamko na ari ya watazamaj watanzania Kwa ujumla katika mechi na saoura ... Bado haamini matokeo ya uwanjani kwamba soka la Leo asilimia kubwa hakuna timu kubwa wala ndogo mambo yote ni uwsnjani najua anafahamu amekuwa kero Kwa kampeni ya Simba katika maandalizi yeke ...pamoja na ushamba wake ataishangaa Simba msimu huu
 
Sawa bwana haji manara
Shaffih amekusikia, labda basi kwa uelewa wako wewe Underdog unailewaje tufafanulie
 
Hawa kina Shafii na wenzake hawana lolote ni wababaishaji eti wanajifanya kuchambua hata timu za nje wao wangeishia Ndanda vs Yanga au Simba vs Stand ndio size yao.
Huyu jamaa anajiita mchambuzi wa soka hapa Tanzania.. Lakini uchambuzi wake ni uchambuzi wa kubomoa, kuponda na kuondoa ari ya soka waliokuwa Nayo watanzania ...uchambuzi uliojaa fitina na chuki za kishamba na kishabiki na hajui maana au tafsiri ya underdog ...... Alisababisha kutoka mwamko na ari ya watazamaj watanzania Kwa ujumla katika mechi na saoura ... Bado haamini matokeo ya uwanjani kwamba soka la Leo asilimia kubwa hakuna timu kubwa wala ndogo mambo yote ni uwsnjani najua anafahamu amekuwa kero Kwa kampeni ya Simba katika maandalizi yeke ...pamoja na ushamba wake ataishangaa Simba msimu huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shafii anaongea ukweli wa wazi sema watanzania vilaza hawajazoea kuambiwa ukweli mkavu. Kwenye lile kundi Simba ni underdog hata kama Soura hawana historia kama yao.
Last season AS vita kacheza final ya confederation cup, al ahaly walifcheza final ya champions league Africa,so nikweli Simba kutoboa kundi hili ningumu
 
Tatizo wabongo mnataka mchambuzi achambue mnayotaka na kuyapenda nyinyi. Tokea lini mchambuzi anaejitambua akaogopa kuchana live?
Shafi anaposema simba ni underdog yuko sahihi kabisa. sema mleta mada na baadhi ya wabongo watasema shafii anamaanisha simba ni mbwa .
Mchambuzi huyu kachana live, simba ni underdog tu, bila kujali matokeo atakayopata. imagine timu toka mwaka 2003 haijawahi kushiriki hatua ya makundi ya kombe hili, sasa utaiitaje? Basi labda tuwaite mabingwa wa ndotoni... (dream champions)
 
Huyu jamaa anajiita mchambuzi wa soka hapa Tanzania.. Lakini uchambuzi wake ni uchambuzi wa kubomoa, kuponda na kuondoa ari ya soka waliokuwa Nayo watanzania ...uchambuzi uliojaa fitina na chuki za kishamba na kishabiki na hajui maana au tafsiri ya underdog ...... Alisababisha kutoka mwamko na ari ya watazamaj watanzania Kwa ujumla katika mechi na saoura ... Bado haamini matokeo ya uwanjani kwamba soka la Leo asilimia kubwa hakuna timu kubwa wala ndogo mambo yote ni uwsnjani najua anafahamu amekuwa kero Kwa kampeni ya Simba katika maandalizi yeke ...pamoja na ushamba wake ataishangaa Simba msimu huu

Mimi ni Simba SC ' Kindakindaki ' na namjua Dauda ni mwana Yanga SC japo anajificha lakini katika ' Analysis ' yake juu ya Simba SC hasa ya leo aliyoisema akiwa katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Extra Clouds fm yupo sahihi kwa 99.9%. Simba SC hatupo vibaya na Timu inajitahidi ila bado nina uhakika kuwa Kundi letu wanapita Al Ahly na AS Vita Club na Sisi ama tutakuwa ni wa Tatu au tutashika Mkia. Bado hatuna Kikosi cha Kutuvusha ila tukijipanga zaidi labda kwa Msimu ujao kama tutakuwa tena Mabingwa wa TPL tunaweza Kufanya vyema zaidi.
 
Mimi ni Simba SC ' Kindakindaki ' na namjua Dauda ni mwana Yanga SC japo anajificha lakini katika ' Analysis ' yake juu ya Simba SC hasa ya leo aliyoisema akiwa katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Extra Clouds fm yupo sahihi kwa 99.9%. Simba SC hatupo vibaya na Timu inajitahidi ila bado nina uhakika kuwa Kundi letu wanapita Al Ahly na AS Vita Club na Sisi ama tutakuwa ni wa Tatu au tutashika Mkia. Bado hatuna Kikosi cha Kutuvusha ila tukijipanga zaidi labda kwa Msimu ujao kama tutakuwa tena Mabingwa wa TPL tunaweza Kufanya vyema zaidi.
Kweli kwa mpira wanaoupiga wale as vita hatuwezi kuwafunga mchezo ujao Kinshasa labda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FB_IMG_1547506377810.jpg
 
Aisee mi nafikiri hawa ndugu zetu Mbumbumbu ukiwaita underdog wanatafsiri umewaita Mbwa wa Chini. Sio hivyo wajameni.
 
tukiwafunga au tukitoa sare utasikia agh mechi ijayo hmtaweza,maneno haya yalianzia kwa mbabane yakenda nkana yakaenda algeria..chillax men.camon
Huhuhuhuhu yani mkawafunge au kutoa sare kule Kongo?! Hivi inakuaje mtu unaota ndoto kama hii?!
 
Umeongea kwa uchungu sana, nimeusikia. Kipindi kijacho studioni nitawapanga Haji Minara na Ifulahimu Kibonge ili waongee uzalendo. Sawa baba?
 
Nahisi kinachomtia doa bwana Shafih ni ujuaji wa kihaya ...alisikika mnywa coffee mmoja
 
Back
Top Bottom