mwangalingimungu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,301
- 733
Kama uko hivyo kweli, Allahu Barik!Neno utabiri nimeuliza mimi, nisima vizuri hakusema yeye. Yeye kasema "leo Spain itashinda" tena expression yake ilikuwa inaonesha ana uhakika kabisa.
Ninune? khaa! Faiza mie kununa huwa nnakusikia kwa wengine tu, AlhamduliLlah si sifa yangu hiyo. Unanchekesha.
itashangaza, kama sio kusikitisha, Mbongo kutomfahamu Mbongo. Atamfahamu nani tena?Hivi watu huwa mnawaelewa kabisa hawa wachambuzi wa kibongo?
TBC huwa siwakubali linapokuja swala la wachambzi wa soka katika mechi mbalimbali za kitaifa na kimataifa. Lakini huyu mchambuzi wa sasa wanaemuita MWALIMU KASHASHA anajitahidi kuchambua mpira vizuri. Wadau wa kandanda mnamuonaje mwalimu/mchambuzi huyu??
Halafu huyu mzee akiwa anaongea kama vile ana mapengo mengi mdomoni!!
Dr Liki si mchambuzi ni mwanahistria wa soka!Anaonekana anajua soka ni mwalimu wa mpira
Dr.Riki Abdala aka Google wa Soka ni mzuri kwa uchambuzi wa soka
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Hivi watu huwa mnawaelewa kabisa hawa wachambuzi wa kibongo?
Hivi watu huwa mnawaelewa kabisa hawa wachambuzi wa kibongo?
Halafu huyu mzee akiwa anaongea kama vile ana mapengo mengi mdomoni!!