Danny Massawe
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,297
- 758
TBC huwa siwakubali linapokuja swala la wachambzi wa soka katika mechi mbalimbali za kitaifa na kimataifa. Lakini huyu mchambuzi wa sasa wanaemuita MWALIMU KASHASHA anajitahidi kuchambua mpira vizuri. Wadau wa kandanda mnamuonaje mwalimu/mchambuzi huyu??