Kizazi hiki kinacho kula kuku aliyeishi Kwa muda wa wiki 2 miili yao lazima izeeke haraka, pia hawa wachezaji wa mpira wanafanya sana mazoezi hadi kusababisha waonekane wa kubwa bila kusahau pesa wanazo pia,(pesa ni sabuni ya roho) huo umri uko kwenye hati ya kusafiriaLeo nimelia sana Baada ya kugundua tunaenda kupigwa kitu kizito ( heavy thing) na uongozi wa Simba kuhusu usajili ambappo wanadai wamesajili damu changa ingawa kiuhalisia sio kweli Bali Wana UMRI mkubwa
Mfano
mukwala ....imeandikwa ana 24 years ...ila ukimcheki ni 30's ukimcheki
Mutale: what's a joke [emoji23][emoji23]jamaa nywele zimetoka kichwani ...et ni 22yrs
Lameck lawi: Misuli imekomaa kama mizizi ya msongwa ....eti ndo miaka 18
NB: Tujiandae kisaikolojia
View attachment 3034790
Haha Kwamba ndo sababuKizazi hiki kinacho kula kuku aliyeishi Kwa muda wa wiki 2 miili yao lazima izeeke haraka, pia hawa wachezaji wa mpira wanafanya sana mazoezi hadi kusababisha waonekane wa kubwa bila kusahau pesa wanazo pia,(pesa ni sabuni ya roho) huo umri uko kwenye hati ya kusafiria