Uchambuzi: Wachezaji wa Simba sio damu changa tazama hapa

Uchambuzi: Wachezaji wa Simba sio damu changa tazama hapa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Leo nimelia sana Baada ya kugundua tunaenda kupigwa kitu kizito ( heavy thing) na uongozi wa Simba kuhusu usajili ambappo wanadai wamesajili damu changa ingawa kiuhalisia sio kweli Bali Wana UMRI mkubwa

Mfano;
1. Mukwala - Imeandikwa ana 24 years, ila ukimcheki ni 30's.

2. Mutale - What a joke [emoji23][emoji23]jamaa nywele zimetoka kichwani, eti ni 22yrs!

3. Lameck Lawi - Misuli imekomaa kama mizizi ya msongwa, eti ndo miaka 18!

NB: Tujiandae kisaikolojia

1720245413185.jpg
 
Leo nimelia sana Baada ya kugundua tunaenda kupigwa kitu kizito ( heavy thing) na uongozi wa Simba kuhusu usajili ambappo wanadai wamesajili damu changa ingawa kiuhalisia sio kweli Bali Wana UMRI mkubwa

Mfano
mukwala ....imeandikwa ana 24 years ...ila ukimcheki ni 30's ukimcheki

Mutale: what's a joke [emoji23][emoji23]jamaa nywele zimetoka kichwani ...et ni 22yrs

Lameck lawi: Misuli imekomaa kama mizizi ya msongwa ....eti ndo miaka 18

NB: Tujiandae kisaikolojia
View attachment 3034790
Kizazi hiki kinacho kula kuku aliyeishi Kwa muda wa wiki 2 miili yao lazima izeeke haraka, pia hawa wachezaji wa mpira wanafanya sana mazoezi hadi kusababisha waonekane wa kubwa bila kusahau pesa wanazo pia,(pesa ni sabuni ya roho) huo umri uko kwenye hati ya kusafiria
 
Kizazi hiki kinacho kula kuku aliyeishi Kwa muda wa wiki 2 miili yao lazima izeeke haraka, pia hawa wachezaji wa mpira wanafanya sana mazoezi hadi kusababisha waonekane wa kubwa bila kusahau pesa wanazo pia,(pesa ni sabuni ya roho) huo umri uko kwenye hati ya kusafiria
Haha Kwamba ndo sababu
 
Damu changa ni chama baleke okrah na mkude mumewatoa simba under 20 ila huu ushabiki sometimes unakuwa kama chizi vile.
 
Back
Top Bottom