Uchambuzi wangu kuhusu mwamuzi Ahmed Arajiga.

Uchambuzi wangu kuhusu mwamuzi Ahmed Arajiga.

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
1. Mimi ni shabiki wa Yanga lia lia.

2. Mitandaoni wanayanga wanalalamika kuhusu R.G. ga kupewa mechi ya kesho kwa sababu wanadhani au wana amini R.G.ga ni mnazi wa Simba.


3. Sikubaliani na wananchi wenzangu. Awali ya yote hakuna anae jua R.G.ga ni shabiki wa timu gani zaidi yake yeye mwenyewe. Lakini kwa kutazama mahali anapo tokea ni sahihi kabisa kuamini kwamba R.G.ga ni shabiki wa Yanga. R.G.ga anatoka Manyara. Ni Saitaa Garmaa. Asilimia kubwa ya watu wa iraq( wambulu ) ni mashabiki wa Yanga kama tu ilivyo kwa wamakonde. So kwa kigezo hicho ninaweza ku conclude kwamba R.G.ga ni shabiki wa Yanga. Hata hivyo hii sio point yangu. Point yangu nipo hapa 👇

4. R. G. ga is a very professional and ethical football referee.

R.G. ga ana fuata kanuni na sheria. Sehemu ya penati anaweka Penati( hata kama ni dakika na 90) sehemu ya kazi nyekundu anatoa kazi nyekundu. Hanaga kupeta mbulu yule.

Kama sheria ipo upande wako R.G.ga utampenda na kumkubali sana lakini kama sheria haipo upande wako basi utamchukia sana R.G.ga kwa sababu R.G.ga huwa anafuata sheria kama ilivyo andikwa kwenye vitabu cha FiFa. Tazama hata gestures zake. Yupo kama Mzungu vile.


Kwa hiyo wafu walio karibu na kocha wa Yanga. Wamfikishie taarifa Gamondi awaambie wachezaji wake kwamba wahakikishe wanafuata sheria zote ndani ya pitch na hawafanyi makosa ya kisheria wawapo karibu na lango lao sababu R.G.ga atafuata sheria kama zilivyo andikwa kwenye vitabu cha FiFa.


Nimalize kwa kuwatakia wanacho ushindi kwenye mechi ya kesho.


Credit: Ukurasa wa Instagram wa Likud wa Jamii Forums.
 
1. Mimi ni shabiki wa Yanga lia lia.

2. Mitandaoni wanayanga wanalalamika kuhusu R.G. ga kupewa mechi ya kesho kwa sababu wanadhani au wana amini R.G.ga ni mnazi wa Simba.


3. Sikubaliani na wananchi wenzangu. Awali ya yote hakuna anae jua R.G.ga ni shabiki wa timu gani zaidi yake yeye mwenyewe. Lakini kwa kutazama mahali anapo tokea ni sahihi kabisa kuamini kwamba R.G.ga ni shabiki wa Yanga. R.G.ga anatoka Manyara. Ni Saitaa Garmaa. Asilimia kubwa ya watu wa iraq( wambulu ) ni mashabiki wa Yanga kama tu ilivyo kwa wamakonde. So kwa kigezo hicho ninaweza ku conclude kwamba R.G.ga ni shabiki wa Yanga. Hata hivyo hii sio point yangu. Point yangu nipo hapa 👇

4. R. G. ga is a very professional and ethical football referee.

R.G. ga ana fuata kanuni na sheria. Sehemu ya penati anaweka Penati( hata kama ni dakika na 90) sehemu ya kazi nyekundu anatoa kazi nyekundu. Hanaga kupeta mbulu yule.

Kama sheria ipo upande wako R.G.ga utampenda na kumkubali sana lakini kama sheria haipo upande wako basi utamchukia sana R.G.ga kwa sababu R.G.ga huwa anafuata sheria kama ilivyo andikwa kwenye vitabu cha FiFa. Tazama hata gestures zake. Yupo kama Mzungu vile.


Kwa hiyo wafu walio karibu na kocha wa Yanga. Wamfikishie taarifa Gamondi awaambie wachezaji wake kwamba wahakikishe wanafuata sheria zote ndani ya pitch na hawafanyi makosa ya kisheria wawapo karibu na lango lao sababu R.G.ga atafuata sheria kama zilivyo andikwa kwenye vitabu cha FiFa.


Nimalize kwa kuwatakia wanacho ushindi kwenye mechi ya kesho.


Credit: Ukurasa wa Instagram wa Likud wa Jamii Forums.
Hukuwa na haja ya kutaja timu yako


Halafu Likud ni myama lia lia
 
1. Mimi ni shabiki wa Yanga lia lia.

2. Mitandaoni wanayanga wanalalamika kuhusu R.G. ga kupewa mechi ya kesho kwa sababu wanadhani au wana amini R.G.ga ni mnazi wa Simba.


3. Sikubaliani na wananchi wenzangu. Awali ya yote hakuna anae jua R.G.ga ni shabiki wa timu gani zaidi yake yeye mwenyewe. Lakini kwa kutazama mahali anapo tokea ni sahihi kabisa kuamini kwamba R.G.ga ni shabiki wa Yanga. R.G.ga anatoka Manyara. Ni Saitaa Garmaa. Asilimia kubwa ya watu wa iraq( wambulu ) ni mashabiki wa Yanga kama tu ilivyo kwa wamakonde. So kwa kigezo hicho ninaweza ku conclude kwamba R.G.ga ni shabiki wa Yanga. Hata hivyo hii sio point yangu. Point yangu nipo hapa [emoji116]

4. R. G. ga is a very professional and ethical football referee.

R.G. ga ana fuata kanuni na sheria. Sehemu ya penati anaweka Penati( hata kama ni dakika na 90) sehemu ya kazi nyekundu anatoa kazi nyekundu. Hanaga kupeta mbulu yule.

Kama sheria ipo upande wako R.G.ga utampenda na kumkubali sana lakini kama sheria haipo upande wako basi utamchukia sana R.G.ga kwa sababu R.G.ga huwa anafuata sheria kama ilivyo andikwa kwenye vitabu cha FiFa. Tazama hata gestures zake. Yupo kama Mzungu vile.


Kwa hiyo wafu walio karibu na kocha wa Yanga. Wamfikishie taarifa Gamondi awaambie wachezaji wake kwamba wahakikishe wanafuata sheria zote ndani ya pitch na hawafanyi makosa ya kisheria wawapo karibu na lango lao sababu R.G.ga atafuata sheria kama zilivyo andikwa kwenye vitabu cha FiFa.


Nimalize kwa kuwatakia wanacho ushindi kwenye mechi ya kesho.


Credit: Ukurasa wa Instagram wa Likud wa Jamii Forums.
Refa mwenye sifa hizi Tanzania Hakuna. Tupeni sababu za kufungiwa kwake mkioanisha na hizi sifa mlizompa. Mechi za Tanzania zikiisha watu wakaridhika ujue ilikuwa na makosa 40%. Wakilalamika ujue makosa ya Mwamuzi ni 60%+.
 
1. Mimi ni shabiki wa Yanga lia lia.

2. Mitandaoni wanayanga wanalalamika kuhusu R.G. ga kupewa mechi ya kesho kwa sababu wanadhani au wana amini R.G.ga ni mnazi wa Simba.


3. Sikubaliani na wananchi wenzangu. Awali ya yote hakuna anae jua R.G.ga ni shabiki wa timu gani zaidi yake yeye mwenyewe. Lakini kwa kutazama mahali anapo tokea ni sahihi kabisa kuamini kwamba R.G.ga ni shabiki wa Yanga. R.G.ga anatoka Manyara. Ni Saitaa Garmaa. Asilimia kubwa ya watu wa iraq( wambulu ) ni mashabiki wa Yanga kama tu ilivyo kwa wamakonde. So kwa kigezo hicho ninaweza ku conclude kwamba R.G.ga ni shabiki wa Yanga. Hata hivyo hii sio point yangu. Point yangu nipo hapa 👇

4. R. G. ga is a very professional and ethical football referee.

R.G. ga ana fuata kanuni na sheria. Sehemu ya penati anaweka Penati( hata kama ni dakika na 90) sehemu ya kazi nyekundu anatoa kazi nyekundu. Hanaga kupeta mbulu yule.

Kama sheria ipo upande wako R.G.ga utampenda na kumkubali sana lakini kama sheria haipo upande wako basi utamchukia sana R.G.ga kwa sababu R.G.ga huwa anafuata sheria kama ilivyo andikwa kwenye vitabu cha FiFa. Tazama hata gestures zake. Yupo kama Mzungu vile.


Kwa hiyo wafu walio karibu na kocha wa Yanga. Wamfikishie taarifa Gamondi awaambie wachezaji wake kwamba wahakikishe wanafuata sheria zote ndani ya pitch na hawafanyi makosa ya kisheria wawapo karibu na lango lao sababu R.G.ga atafuata sheria kama zilivyo andikwa kwenye vitabu cha FiFa.


Nimalize kwa kuwatakia wanacho ushindi kwenye mechi ya kesho.


Credit: Ukurasa wa Instagram wa Likud wa Jamii Forums.
Ongea na inonga kwanza

Wanazi wa Simba naona mshamalizana na R.Gaa
 
Tunachopenda kukishuhudia wadau wengi wa michezo hiyo kesho ni kuona timu zote zinacheza mchezo mzuri na wenye fair play ndani yake.

Waamuzi wachezeshe kwa kufuata sherua 17 za soka. Na mwisho kabisa naitakia ushindi mnono timu yangu ya Wananchi Yanga.
 
Maadui wakubwa wa Taifa letu ni.

"Umasikini.
Ujinga na
Maradhi"

IRP Baba wa Taifa
Julius Kambarage Nyerere.
 
Unaawatakia wanacho...ushindi...
Tawireeeeee
Nyuzi za wanayanga zimekua
nyingi sana kuhusu derby ya kesho....
 
Aradiga alichezesha mechi gani ya karibuni?
 
1. Mimi ni shabiki wa Yanga lia lia.

2. Mitandaoni wanayanga wanalalamika kuhusu R.G. ga kupewa mechi ya kesho kwa sababu wanadhani au wana amini R.G.ga ni mnazi wa Simba.


3. Sikubaliani na wananchi wenzangu. Awali ya yote hakuna anae jua R.G.ga ni shabiki wa timu gani zaidi yake yeye mwenyewe. Lakini kwa kutazama mahali anapo tokea ni sahihi kabisa kuamini kwamba R.G.ga ni shabiki wa Yanga. R.G.ga anatoka Manyara. Ni Saitaa Garmaa. Asilimia kubwa ya watu wa iraq( wambulu ) ni mashabiki wa Yanga kama tu ilivyo kwa wamakonde. So kwa kigezo hicho ninaweza ku conclude kwamba R.G.ga ni shabiki wa Yanga. Hata hivyo hii sio point yangu. Point yangu nipo hapa 👇

4. R. G. ga is a very professional and ethical football referee.

R.G. ga ana fuata kanuni na sheria. Sehemu ya penati anaweka Penati( hata kama ni dakika na 90) sehemu ya kazi nyekundu anatoa kazi nyekundu. Hanaga kupeta mbulu yule.

Kama sheria ipo upande wako R.G.ga utampenda na kumkubali sana lakini kama sheria haipo upande wako basi utamchukia sana R.G.ga kwa sababu R.G.ga huwa anafuata sheria kama ilivyo andikwa kwenye vitabu cha FiFa. Tazama hata gestures zake. Yupo kama Mzungu vile.


Kwa hiyo wafu walio karibu na kocha wa Yanga. Wamfikishie taarifa Gamondi awaambie wachezaji wake kwamba wahakikishe wanafuata sheria zote ndani ya pitch na hawafanyi makosa ya kisheria wawapo karibu na lango lao sababu R.G.ga atafuata sheria kama zilivyo andikwa kwenye vitabu cha FiFa.


Nimalize kwa kuwatakia wanacho ushindi kwenye mechi ya kesho.


Credit: Ukurasa wa Instagram wa Likud wa Jamii Forums.
Umeandika nini? Takataka
 
Back
Top Bottom