Uchambuzi wangu Simba sc 1-1 Azam fc

Uchambuzi wangu Simba sc 1-1 Azam fc

Kama uliuangalia huu mpira kwa makini unaweza ukakubaliana na mimi kwa hakika kuwa Hizi ndio timu zinazowania nafasi ya pili, Yanga amewaacha mbali both azam na simba kiuchezaji, kwa kifupi gemu yao ya Leo ilikuwa kama chandimu, vibonde wote hawa wawili ambao mmoja alikula tatu mbili na mwingine akigongwa chuma tano na mabingwa wakihistora Yanga sc walikuwa wakiruka ruka kama mapoyoyo uwanjani.

Leo kulikuwa na POINT SITA za Yanga na magoli 8, zikipambana bila kusahau Goli nne za Aziz Ki zilikuwa zitifuana bila malengo.

Kimsingi hawa wote ni VIBONDE.. Mpira wa namna hii huwezi kuchukua ubingwa, huu ni mpira kwa timu zinazo wania nafasi ya pili na nafasi ya tatu, pira takataka.

Wachezaji wanacheza kama wamepiga PUNYETO kwa mafuta ya taa.
Aisee. Kweli wewe ni Mwehu kama unavyojiita!
 
Kama uliuangalia huu mpira kwa makini unaweza ukakubaliana na mimi kwa hakika kuwa Hizi ndio timu zinazowania nafasi ya pili, Yanga amewaacha mbali both azam na simba kiuchezaji, kwa kifupi gemu yao ya Leo ilikuwa kama chandimu, vibonde wote hawa wawili ambao mmoja alikula tatu mbili na mwingine akigongwa chuma tano na mabingwa wakihistora Yanga sc walikuwa wakiruka ruka kama mapoyoyo uwanjani.

Leo kulikuwa na POINT SITA za Yanga na magoli 8, zikipambana bila kusahau Goli nne za Aziz Ki zilikuwa zitifuana bila malengo.

Kimsingi hawa wote ni VIBONDE.. Mpira wa namna hii huwezi kuchukua ubingwa, huu ni mpira kwa timu zinazo wania nafasi ya pili na nafasi ya tatu, pira takataka.

Wachezaji wanacheza kama wamepiga PUNYETO kwa mafuta ya taa.
Mchambuzi wa Mchongo....
 
Kama uliuangalia huu mpira kwa makini unaweza ukakubaliana na mimi kwa hakika kuwa Hizi ndio timu zinazowania nafasi ya pili, Yanga amewaacha mbali both azam na simba kiuchezaji, kwa kifupi gemu yao ya Leo ilikuwa kama chandimu, vibonde wote hawa wawili ambao mmoja alikula tatu mbili na mwingine akigongwa chuma tano na mabingwa wakihistora Yanga sc walikuwa wakiruka ruka kama mapoyoyo uwanjani.

Leo kulikuwa na POINT SITA za Yanga na magoli 8, zikipambana bila kusahau Goli nne za Aziz Ki zilikuwa zitifuana bila malengo.

Kimsingi hawa wote ni VIBONDE.. Mpira wa namna hii huwezi kuchukua ubingwa, huu ni mpira kwa timu zinazo wania nafasi ya pili na nafasi ya tatu, pira takataka.

Wachezaji wanacheza kama wamepiga PUNYETO kwa mafuta ya taa.
Kama huo uharo hapo juu nao ni uchambuzi,basi Manara Apewe maua yake Kwa msemo wake kuwa utopoloni wenye akili ni wawili tu
 
Kama huo uharo hapo juu nao ni uchambuzi,basi Manara Apewe maua yake Kwa msemo wake kuwa utopoloni wenye akili ni wawili tu
Kwa hiyo huo uchambuzi wangu nawa jemedari saidi bin kazumari unatofauti gani mkuu?
 
Kwani shule haijaanza tu,maana tumechoka kuona takataka
 
Kama uliuangalia huu mpira kwa makini unaweza ukakubaliana na mimi kwa hakika kuwa Hizi ndio timu zinazowania nafasi ya pili, Yanga amewaacha mbali both azam na simba kiuchezaji, kwa kifupi gemu yao ya Leo ilikuwa kama chandimu, vibonde wote hawa wawili ambao mmoja alikula bao tatu na mwingine akigongwa chuma tano na mabingwa wakihistora Yanga sc walikuwa wakiruka ruka kama mapoyoyo uwanjani.

Leo kulikuwa na POINT SITA za Yanga na magoli 8 zikipambana, bila kusahau Goli nne za Aziz Ki zilizokuwa zikitifuana bila malengo huku wakicheza butua butua kama walevi wa mbege toka rombo.!

Kimsingi hawa wote ni VIBONDE.. Mpira wa namna hii huwezi kuchukua ubingwa, huu ni mpira kwa timu zinazowania nafasi ya pili na nafasi ya tatu, pira takataka, pira gimbi.

Wachezaji wa timu zote mbili walikuwa wanacheza kama wamepiga PUNYETO kwa mafuta ya taa.
FB_IMG_1707543855443.jpg
 
Kama uliuangalia huu mpira kwa makini unaweza ukakubaliana na mimi kwa hakika kuwa Hizi ndio timu zinazowania nafasi ya pili, Yanga amewaacha mbali both azam na simba kiuchezaji, kwa kifupi gemu yao ya Leo ilikuwa kama chandimu, vibonde wote hawa wawili ambao mmoja alikula bao tatu na mwingine akigongwa chuma tano na mabingwa wakihistora Yanga sc walikuwa wakiruka ruka kama mapoyoyo uwanjani.

Leo kulikuwa na POINT SITA za Yanga na magoli 8 zikipambana, bila kusahau Goli nne za Aziz Ki zilizokuwa zikitifuana bila malengo huku wakicheza butua butua kama walevi wa mbege toka rombo.!

Kimsingi hawa wote ni VIBONDE.. Mpira wa namna hii huwezi kuchukua ubingwa, huu ni mpira kwa timu zinazowania nafasi ya pili na nafasi ya tatu, pira takataka, pira gimbi.

Wachezaji wa timu zote mbili walikuwa wanacheza kama wamepiga PUNYETO kwa mafuta ya taa.

Bado kidgo wakuingize nyuma
 
Back
Top Bottom