Uchambuzi wangu wa mechi ya Yanga vs CBE ya Ethiopia

Uchambuzi wangu wa mechi ya Yanga vs CBE ya Ethiopia

Joined
Nov 6, 2016
Posts
77
Reaction score
271
UCHAMBUZI WA Comrade Ally Maftah, DAR YOUNG AFRICAN VA COMMERCIAL BANK OF ETHIOPIA SPORT ASSOCIATION (CBE SA)

Na Comrade Ally Maftah
PACOME WA MCHONGO


CBE SA ( Comercial Bank of Ethiopia Sport Association ilianzishwa mwaka 1982 pale Adis Abab Ethiopia, ni timu ambayo inashikilia kombe la vilabu nchini Ethiopia,

CBE SA imeshiriki kombe la shirikisho mara mbili - : 2005 na 2010 ambapo iliishia hatua za awali, mzunguko wa kwanza, kwa sasa ni timu yenye uwezo mkubwa nchini Ethiopia ikiwa na washabiki wengi nchini Ethiopia kutokana na ubora wa wachezaji kama Umar Bashiru ( Ghana ).


Ikumbukwe leo ni tarehe 4 mwezi wa Meakerem 2017 ( Orthodox Calender ) ambapo sisi kwetu ni tarehe 14 Sep 2024. ambapo mabingwa wa Soka Tanzania Dar Young African watakipiga pale uwanja wa Abebe Bikila uliopo Adis Ababa Ethiopia.
PIA SOMA
- FT: CBE SA 0-1 Yanga SC |CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Abebe Bikila Stadium | 14.09.2024


Dar Young African chini ya kocha kutoka Argentina Miguel Angel Gamond amefika Ethiopia akiwa na wachezaji wake wote akiwemo Dickson Job ambae aliumia kidogo akilitumikia taifa katika mechi ya Stars dhidi ya Guinea.

Wapenzi wa soka tunatarajia kuona mchezo huu mubashara kuanzia saa tisa mchana. Dar Young African itamheshimisha Dr Samia.

IMEANDIKWA NA
Comrade Ally Maftah
PACOME WA MCHONGO

0785670227
 
Wahabeshi wamezika mtu pale uwanjani kwao maana si kwa kosa kosa zile, kwa Mkapa watakula khamsa.
 
UCHAMBUZI WA Comrade Ally Maftah, DAR YOUNG AFRICAN VA COMMERCIAL BANK OF ETHIOPIA SPORT ASSOCIATION (CBE SA)

Na Comrade Ally Maftah
PACOME WA MCHONGO


CBE SA ( Comercial Bank of Ethiopia Sport Association ilianzishwa mwaka 1982 pale Adis Abab Ethiopia, ni timu ambayo inashikilia kombe la vilabu nchini Ethiopia,

CBE SA imeshiriki kombe la shirikisho mara mbili - : 2005 na 2010 ambapo iliishia hatua za awali, mzunguko wa kwanza, kwa sasa ni timu yenye uwezo mkubwa nchini Ethiopia ikiwa na washabiki wengi nchini Ethiopia kutokana na ubora wa wachezaji kama Umar Bashiru ( Ghana ).


Ikumbukwe leo ni tarehe 4 mwezi wa Meakerem 2017 ( Orthodox Calender ) ambapo sisi kwetu ni tarehe 14 Sep 2024. ambapo mabingwa wa Soka Tanzania Dar Young African watakipiga pale uwanja wa Abebe Bikila uliopo Adis Ababa Ethiopia.
PIA SOMA
- FT: CBE SA 0-1 Yanga SC |CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Abebe Bikila Stadium | 14.09.2024


Dar Young African chini ya kocha kutoka Argentina Miguel Angel Gamond amefika Ethiopia akiwa na wachezaji wake wote akiwemo Dickson Job ambae aliumia kidogo akilitumikia taifa katika mechi ya Stars dhidi ya Guinea.

Wapenzi wa soka tunatarajia kuona mchezo huu mubashara kuanzia saa tisa mchana. Dar Young African itamheshimisha Dr Samia.

IMEANDIKWA NA
Comrade Ally Maftah
PACOME WA MCHONGO

0785670227
Muda mwingine mchambue mambo kulingana na uhalisia sasa kwa maandishi haya na nilivyoona ile match duh. Vitu tofauti.
Na hapo wamewapeleka yanga kwenye kiwanja kibovuuu.
Wale wakija huku ni 6 goals for real.
 
Wachezaji watatu wa Yanga leo walirudisha nyuma mpira mara nyingi mno hadi ikaboa Gamondi arekebishe hiyo shida otherwise khamsa tutasahau
1. Max Nzengeli,
2. Mudathir
3. Baka
Yanga daima mbele nyuma mwiko!!

Max Nzengeli afundishwe kuwa Assist ni sawa na goli leo angempasia Aziz Ki Yanga ingevuna 10 million. Hili kosa la kulazimisha kufunga na kukataa kutoa assist alifanya pia mechi na Simba.
 
Wachezaji watatu wa Yanga leo walirudisha nyuma mpira mara nyingi mno hadi ikaboa Gamondi arekebishe hiyo shida otherwise khamsa tutasahau
Haya mambo ya piraa kurudishwa sana nyuma yalianzaga kwa simba ilipokuwa inanza kuchuja basii kila kitu kikawa kinaharibika.
 
Back
Top Bottom