koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,789
- 10,388
Mtafute tena upyakabisa mzee, family first. Lakin ndo ivo Roma bila nyimbo za harakati Ni takataka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafute tena upyakabisa mzee, family first. Lakin ndo ivo Roma bila nyimbo za harakati Ni takataka tu
SUKUMA GANG Kaa kwa kutuliaMi kwa upande wangu ni fan mkubwa wa roma
ila nyimbo hii itazidi kumuweka pabaya, angetulia tu na kuachana nyimbo za kisiasa
Mange kimambidada amechoka wanafamilia wanamuangusha ......
Bashite, kuacha ukuu wa mkoa na kugombania ubunge kigamboniKaka aliyeuza nyumba ni nani
Familia yake imekufata kukuomba pesa ya kula?Hapana mwanangu
Ila si unafahamu ametengana na familia yake kwa zaidi ya mwaka??
unasemaje kuhusu hilo
Kama tumefikia kila anayekuwa na mawazo tofauti na yako/yenu anaitwa Sukuma Gang basi tupo pabaya sanaSUKUMA GANG Kaa kwa kutulia
Basi kaka umeshindaFamilia yake imekufata kukuomba pesa ya kula?
Makonda akanunua ya kigamboni ikasombwa na upepo wa bahari.Kaka aliyeuza nyumba ni nani
Hii inaitwa word playing mashairi mazuriRoma: Nina wasi wasi na waliobaki Mama awaangalie vizuri
Stamina: Kama
Roma: Kaka yetu aliye Hai na yuko Hapi
Stamina: Yule chenga
Roma: Pole Pole hayo mambo sasa ni Musiba njooni chemba
Narudi na nitafikia kwa kaka Bumbuli
Stamina: Hata kwa Mama mdogo yule mwalimu wa Tanga utaishi vizuri
Mange kimambinjiwa wametutia hasara , sijui aliwaza nini baba ?
MakondaKaka aliyeuza nyumba ni nani
Watarudisha mambo ya kupima mkojo kama njia ya kugundua uchochezi.hawa vijana hawa wanataka kukumbusha maumivu ya CAG
Kwanini? Kwani jiwe bado yupoMi kwa upande wangu ni fan mkubwa wa roma
ila nyimbo hii itazidi kumuweka pabaya, angetulia tu na kuachana nyimbo za kisiasa
Akili yako ikiwa ya kushubwada huwezi kuelewa kitu kwenye hii ngomaUshubwada tupu hamna kitu hapa